Mshahara wa mhasibu level ya certificate.

Mshahara wa mhasibu level ya certificate.

IPILIMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,819
Reaction score
802
WANAJAMVI! RESPECT TO YOU ALL! Naomba kujua ukitaka kumwajili mhasibu wa level ya cheti mshahara/malipo yake kwa mwaka ni kiasi gani? Kwa fresh na mwenye exp. Ya atleast mwaka 1. kampuni ndo kwanza inataka kuanza.
 
Hakuna mhasibu mwenye certificate. Huyo ataitwa karani wa hesabu. Uhasibu ni title kama dokta, mhandisi nk.
Kuhusu mshahara utategemea na yeye anatunza hesabu/fedha thamani gani. Mfano sisi kwenye kampuni yetu karani analamba net ya 1.6 m sawa na secretari na dereva wakati nasikia sehemu nyingine wanalipwa laki na nusu
 
Hakuna mhasibu mwenye certificate. Huyo ataitwa karani wa hesabu. Uhasibu ni title kama dokta, mhandisi nk.
Kuhusu mshahara utategemea na yeye anatunza hesabu/fedha thamani gani. Mfano sisi kwenye kampuni yetu karani analamba net ya 1.6 m sawa na secretari na dereva wakati nasikia sehemu nyingine wanalipwa laki na nusu

Thanks. Je karani we fedha ndo tunamwita CASHIER? good. Nitamtafuta kama huyo katika initial stage of my company. Nadhani watakuwa wamefundishwa Accounting kwa kiasi cha kuweza kutunza vema hesabu za kampuni na kutayarisha accounting documents (financial statements).
 
Hakuna mhasibu mwenye certificate. Huyo ataitwa karani wa hesabu. Uhasibu ni title kama dokta, mhandisi nk.
Kuhusu mshahara utategemea na yeye anatunza hesabu/fedha thamani gani. Mfano sisi kwenye kampuni yetu karani analamba net ya 1.6 m sawa na secretari na dereva wakati nasikia sehemu nyingine wanalipwa laki na nusu

mkuu hiyo company yenu ni nzuri hamna vacancy hapo mnipe ajira pia katika nafasi yoyote hata nikianza na 500 k itanifaa(its not joke mkuu)
 
Hakuna mhasibu mwenye certificate. Huyo ataitwa karani wa hesabu. Uhasibu ni title kama dokta, mhandisi nk.
Kuhusu mshahara utategemea na yeye anatunza hesabu/fedha thamani gani. Mfano sisi kwenye kampuni yetu karani analamba net ya 1.6 m sawa na secretari na dereva wakati nasikia sehemu nyingine wanalipwa laki na nusu

Nawewe utakua na posisheni gan mkuu? inajulisha mashalaah!
 
Jaman Mim Na Diploma Wakuu swez pata nafasi kwenye hyo kampuni yenu maana nataman niwatext nashindwa KACHIRImbe and Ipilimo hata mshahara chini ya hapo tuuu
 
Last edited by a moderator:
Hakuna mhasibu mwenye certificate. Huyo ataitwa karani wa hesabu. Uhasibu ni title kama dokta, mhandisi nk.
Kuhusu mshahara utategemea na yeye anatunza hesabu/fedha thamani gani. Mfano sisi kwenye kampuni yetu karani analamba net ya 1.6 m sawa na secretari na dereva wakati nasikia sehemu nyingine wanalipwa laki na nusu

Acha sifa za kitoto.. Mgodi wa GGM ndio unalipa mshahara mzuri kuliko sehemu zingne, kwa uchunguzi wangu.. Na mashirika kama TRA, NSSF, TBL, SERENGETI, TANAPA, ngo kama AGPAHI, PSI na mengine machache ndio yenye mishahara mizuri, tukiacha UN agencies, lakini hakuna mshahara wa dereva kuwa 1.5m..

We hyo kampuni yako ni kampuni gani? Mbona mnapenda sifa za kijinga sana.. Kama wewe ni mkweli taja tu jina la kampuni yako au shughuli yake tukupigie hesabu za mishahara.. Acha mbwembwe wewe..
 
WANAJAMVI! RESPECT TO YOU ALL! Naomba kujua ukitaka kumwajili mhasibu wa level ya cheti mshahara/malipo yake kwa mwaka ni kiasi gani? Kwa fresh na mwenye exp. Ya atleast mwaka 1. kampuni ndo kwanza inataka kuanza.

Mkuu;
naomba isiwe we ndo una'certificate unatafuta kazi au umeitwa kwenye intavyuu, then unataka hints za salary scale kwa level yako..

Nway kama una'firm flani, basi very nice.. Mshahara ni makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa.. Cha msingi ni kuangalia turnover au mapato ya kampuni yako kwa mwezi au mwaka, expenses zake i.e daily operating cost, number of employees to be enrolled, na faida unayoitarajia. Frm there utapanga kiasi cha mshahara kwa kila kada.. Pia unaweza kupata clue kutoka kwa mwajiriwa anataka alipwe ngapi.. Anaweza kutaka kidogo zaidi (faida kwako) au kikubwa zaidi (hasara kwako) ya ulichopanga!!

Japo mara nyng "cashier" haizidi 450,000/= tshs.
 
mkuu hiyo company yenu ni nzuri hamna vacancy hapo mnipe ajira pia katika nafasi yoyote hata nikianza na 500 k itanifaa(its not joke mkuu)

Sina imani na huyo jamaa.. tafuta laki 5.. kaweke kambi mikoani i.e Mtwara, for 2 months, huku ukiwa unatafuta kazi, am sure ukiwa serious utapata!
 
Thanks. Je karani we fedha ndo tunamwita CASHIER? good. Nitamtafuta kama huyo katika initial stage of my company. Nadhani watakuwa wamefundishwa Accounting kwa kiasi cha kuweza kutunza vema hesabu za kampuni na kutayarisha accounting documents (financial statements).

Cashier siyo jina sahihi. Hata mtu mwenye CPA anaweza kuwa cashier kutegemeana na volume if transactions. Kwa kiingereza wanaitwa 'Accounts Assistant' au 'Assistant Accountant' ambao kimsingi kazi yao ni bookkeeping. Wengi wao hawana uwezo wa kuandaa Financial Statements labda wale walioupata kutokana na uzoefu kazini. Nakushauri uajiri angalau mtu mweny3 diploma na uzoefu kidogo, mshahara mpatie net ya laki 5
 
Acha sifa za kitoto.. Mgodi wa GGM ndio unalipa mshahara mzuri kuliko sehemu zingne, kwa uchunguzi wangu.. Na mashirika kama TRA, NSSF, TBL, SERENGETI, TANAPA, ngo kama AGPAHI, PSI na mengine machache ndio yenye mishahara mizuri, tukiacha UN agencies, lakini hakuna mshahara wa dereva kuwa 1.5m..

We hyo kampuni yako ni kampuni gani? Mbona mnapenda sifa za kijinga sana.. Kama wewe ni mkweli taja tu jina la kampuni yako au shughuli yake tukupigie hesabu za mishahara.. Acha mbwembwe wewe..
Huo ni mchango wangu mkuu. Na wewe toa wa kwako ili kumsaidia mwenzetu
 
Sina imani na huyo jamaa.. tafuta laki 5.. kaweke kambi mikoani i.e Mtwara, for 2 months, huku ukiwa unatafuta kazi, am sure ukiwa serious utapata!
mkuu sexioloxist nashukuru kwa comment yako ,tafadhali unaweza kunielekeza vyema hapa?kama hutajali kwa private message mkuu!patiently waiting
 
Acha sifa za kitoto.. Mgodi wa GGM ndio unalipa mshahara mzuri kuliko sehemu zingne, kwa uchunguzi wangu.. Na mashirika kama TRA, NSSF, TBL, SERENGETI, TANAPA, ngo kama AGPAHI, PSI na mengine machache ndio yenye mishahara mizuri, tukiacha UN agencies, lakini hakuna mshahara wa dereva kuwa 1.5m..

We hyo kampuni yako ni kampuni gani? Mbona mnapenda sifa za kijinga sana.. Kama wewe ni mkweli taja tu jina la kampuni yako au shughuli yake tukupigie hesabu za mishahara.. Acha mbwembwe wewe..
Mkuu naomba maelezo kidogo kuhusu mishahara ya AGPAHI. naona wametangaza vacancies nyingi sana mwezi huu
 
WANAJAMVI! RESPECT TO YOU ALL! Naomba kujua ukitaka kumwajili mhasibu wa level ya cheti mshahara/malipo yake kwa mwaka ni kiasi gani? Kwa fresh na mwenye exp. Ya atleast mwaka 1. kampuni ndo kwanza inataka kuanza.
Kwann usitafute mtu mwenye cpa ukawa unamlipa part time?
 
Hakuna mhasibu mwenye certificate. Huyo ataitwa karani wa hesabu. Uhasibu ni title kama dokta, mhandisi nk.
Kuhusu mshahara utategemea na yeye anatunza hesabu/fedha thamani gani. Mfano sisi kwenye kampuni yetu karani analamba net ya 1.6 m sawa na secretari na dereva wakati nasikia sehemu nyingine wanalipwa laki na nusu
ambayo ni kampuni gani hiyo?
 
Certificate huwezi kuwa muhasibu hata kampuni yenye cash flow laki moja, utakuwa msaidizi hesabu na hata ivo siku hizi wamachukua Diploma ya uhasibu ili uwe msaidizi hesabu
 
Back
Top Bottom