Mshahara wa laki 6.5 naweza kupata mkopo wa milioni 15

jaribu kuuliza katika page ya CRDB au NMB katika facebook huwa wana jibu maswali yanayohusu mambo yote ya kibenki
 
Mmmh Mim pia nlikua na mshahara wa laki6.5 nlipoenda crdb wakanambia watanipa mil13. Apo ukiweka na riba ya marejesho itakubid ulipe mil19 na ushee. nikaona sio ishu nikachukua mkopo per month wanakata laki 3.2 kwa muda wa miaka 5.(crdb ndo walkua wanatoa ela kubwa kuliko benk nyingne)
 
Mmmh Mim pia nlikua na mshahara wa laki6.5 nlipoenda crdb wakanambia watanipa mil13. Apo ukiweka na riba ya marejesho itakubid ulipe mil19 na ushee. nikaona sio ishu nikachukua mkopo per month wanakata laki 3.2 kwa muda wa miaka 5.(crdb ndo walkua wanatoa ela kubwa kuliko benk nyingne)
Mkuubio ulikua unapata gross au net??yaaan laki6.2 upate mil13!!makato laki3.2 !badi kodi hapi na nssf!!alooo ulijilipua balaa.nahisi hujamaliza mkopo wewe uliacha kazi
 
Back
Top Bottom