Huu ndiyo ukweli katika maisha, kazi kubwa ni kupata wazo la kufanya katkka maisha yako. Watu wanaamini ili ufanikiwe lazima uwe na mtaji lakini si kweli. Kwenye biashara ni wachache walionza na pesa zao. Watu wakikuona uko serious na wazo lako upata bidhaa ya kuanzia. Ajira ni kifungo kwenye maisha ya mtu na kukuonyesha huwezi kujisimamia mwenyewe kwenye maisha yako. Upambanaji wa kujiajiri unalipa sana.