Mshahara ni dawa ya kulevya

Mshahara wowote unaolipa hua ni cocaine iliyowekwa na wajanja kuua ndoto zako...kwahyo kadili unavyo tafuta kampuni ya kukulipa Hela nyingi maanayake unapambana mwenyewe kutumia hii DAWA ya KULEVYA (mshahara) kuua kipaji au ndoto ..tafuta boss mzuri
Acha kutumia hizo 'dawa za kulevya' ndio uelewe kama unachokisema ndio chenyewe. Hata ukifanya biashara, utataka kupanua biashara na kuongeza bidhaa tofauti tofauti (product/ service mix) ili upate fedha zaidi.
 
Wengi wanaotoa kauli kama hizi hawana ajira,protective mechanism
 
Hii wachache mno watakuelewa. Pia inategemeana mtu nafsini mwake,Kuna watu wanapenda maisha ya 95 jobs , yaani huwa Kuna different predators having different hunting strategies how to get their prey mkuu. Kikubwa Ni kujijua na Ni greatest gift ukipenda kitu kikakupenda yaani unakuwa chosen na sio ku choose
 
Unachokifanya Ni kucheza na maneno tu.
 
Mshahara wowote unaolipa hua ni cocaine iliyowekwa na wajanja kuua ndoto zako...kwahyo kadili unavyo tafuta kampuni ya kukulipa Hela nyingi maanayake unapambana mwenyewe kutumia hii DAWA ya KULEVYA (mshahara) kuua kipaji au ndoto ..tafuta boss mzuri
Kuna makundi ma4
1. Mwajiriwa
2. Aliyejiajiri
3. Mmiliki wa biashara
4. Mwekezaji
Hizi ni hatua kila mtu anatakiwa kuzipita kufika namba 4.
Mwajiriwa mtaji wake ni nguvu au ujuzi.
Aliyejiajiri mtaji wake ni nguvu /ujuzi na pesa
Mmiliki wa biashara ana mtaji/pesa/asset na anatumia nguvu na ujuzi wa waajiriwa
Mwekezaji anatumia mtaji/pesa kutengeneza pesa.
Mshahara ni dawa ya kulevya ,Yes.
kama utabaki namba 1 mpaka kustaafu.
 
Mshahara wowote unaolipa hua ni cocaine iliyowekwa na wajanja kuua ndoto zako...kwahyo kadili unavyo tafuta kampuni ya kukulipa Hela nyingi maanayake unapambana mwenyewe kutumia hii DAWA ya KULEVYA (mshahara) kuua kipaji au ndoto ..tafuta boss mzuri
Kwa hiyo tufanyeje sasa?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Huo ushauri mzuri toa wewe Kuna watu watakuelewa na Mimi nawapa ambazo utawafaa wewe huwezi kuelewa
 
Hahahahahaha
 
Wewe Sasa ndio unaelewa maana ya kilichoandikwa twenzetu man ya kuyaajir mengi sana kumbee [emoji3][emoji3]
 
sijaelewa.


JESUS IS LORD

The meaning of a Lord is not god, it means master, leader, king.

John 13:13: Jesus said ''You call me teacher and lord;and you are right,for so I am''

With the above statement of Jesus,the Christians claim that Jesus is God;can this be true ? No.


The word ''lord'' or your majesty is a terminology that is commonly used in the Bible to address some important personalities.

For example,in Genesis 33:8 Jacob addressed Esau as his lord.

In 1kings 1:2 David was addressed as lord by his servants.

And in 1kings 13:7 Elijah was addressed as lord by Obadiah.

Do we then call them Gods ?

No!.

These kinds of example are many in the bible.

Even in this modern world,Judges,Kings and other important dignitaries are always addressed as ''My lord'' or ''Your majesty'' or ''Your Royal Highness'' or ''Your Excellency'' or ''Your Eminence''

It is true that there are many so-called gods,lords,kings,but the God of all Gods and Lord of all Lords and the king of all kings is Almighty God ,Allah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…