Mshahara kima cha chini kwa private sector

Mshahara kima cha chini kwa private sector

kijanamimi

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2015
Posts
245
Reaction score
176
Habarini humu ndani,

Ningependa kufahamu kisheria mfanyakazi wa private sector anastahili kulipwa mshahara wa kima cha chini shilingi ngapi?

Na je mfanyakazi anaweza kufanya kazi miaka mitatu bila mshahara wake kupanda?
 
Back
Top Bottom