Mshahara huu umekaaje?

Mshahara huu umekaaje?

emailpassword

Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
99
Reaction score
92
Wakuu sijaelewa kabsa huu mshahara ulivotoka, badala ya kupata kima changu cha kawaida napata 160. Nasikia kuna makato kwa wafanyakazi wote ni kweli hili.
 
makato yapi tena? wengine umeingia kama ulivyo..
 
Dhaaa!! 160 uko sawa aisee!!
watumish wa magu fulu raha

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom