Wala ujapata mwanga majibu yote sio ya kweli.
kiwango kinachotumika ni TPGS-numbers.sasa namba inavyokuwa kubwa na mshahara unakua mkubwa.
wewe ungetaja atleast position unayotaka alafu tukutajie rank yake.kumbuka mshahara wa mtu unategemea pia muda alofanya kazi etc.[/QUOjuTE]
Asante ingawa sio mimi niliyeuliza swali kwa mtu wa diploma anaanza na sh ngapi?
Nashukuru pia kwa mawazo yako.Niliposema nimepata mwanga nilicheki TGS G kwenye Sticky ya Viwango vya mshahara hapo juu kama alivyopendekeza mdau kati ya waliojibu swali langu.Ila nilitaka kujua kwa "professional na non-professional" kwa "degree holder" maana kuna mtu ameniomba ushauri lakini kuhusu hilo la ngazi ya mshahara sikuwa na uelewa.Nitashukuru sana Mkuu kama utanipatia maelezo zaidi.