mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,607
- 4,902
Mwambie tukutane 2020 kwenye kupiga pushup..najua atakuja na boxing ths tym
Jamaa atapeta tu 2020 tena kwa mbinde, kwa kweli hatujawahi kuwa na rais mchapakazi na mtendaji wa ukweli kama Magufuli, iliyobaki ni kumshukuru Mungu tu kwa kutupa yeye. Kwa kweli sioni haja ya kumpigia kura 2020, tumuachie tu atuongoe kwa miaka mingine 30.