kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 17,639
- 21,837
Ndio mkuu 🤣Drones iyo!!
Nenda camp ya nyarugusu uone pale kuna wakimbizi wana miaka ila bado ni wakimbizi,kina kibu wamezaliwq makambini ila bado uraia wa TZ wakapewa uzeeni,mobutu aliwakosea sana wakongo kwa kuwaruhusu banyamulenge washaishi mtaani,angewawekea refugees camp kama alivyofanya nyerereInaumiza sana hii inshu ya Congo, Banyamulenge ni wakongo coz wapo pale miongo na miongo. Leo hii mijitu isiyojua kiswahili inawabagua eti warudi kwao imesahau hiyo ardhi kiasili ni Yao coz mipaka imecholwa na wakoloni ikiwatenganisha na ndg zao wanyarwanda. Kipigo watakachopata Hawa jamaa tutaishia kuilaumu M23.
Hizo za satellite kuona pink arshini ni chaiMichezo ya US na Israel hii, michezo ya kutumia drone wanapenda Sana maana Wana satellite zinazoweza kuona Hadi Pini ndogo kabisa ardhini, kitu ambacho huwezi kukiona Kwa macho Mathalan toothpick kwenye Giza wao hukiona, wanakuwinda Tu hawachoki, wakipata nafasi moja basi wanakuwahisha kaburini...baadhi ya nchi Afrika wanazo za kisasa kabisa.
Kule middle East hizi drones ndo zilikuwa zinawasaka viongozi wa vile vikundi vya Hezbollah sjui Hamas, upo zako na gari unajikuta Tu umeshakuwa majivu, ipo moja hiyo ya pikipiki inategwa barabarani kama vile imepakiwa kumbe bike mbele pale ina silaha isiyoonekana ukitokea Tu road Kwa mbele Jamaa ofisini anabonyeza Tu bike inakuwasha chuma za kutosha peke yako unakufa, halafu inajilipua yenyewe kupoteza ushahidi, hivyo ndivyo alivyouliwa mwanasayansi mmoja tegemezi wa nyuklia wa Iran...
Nashauri kama kweli kuna vijana ambao wanapenda teknolojia waanze sasa kukomaa na AI, wajinoe kwenye sophisticated issues kama hizo watatoboa miaka ya baadae, future ipo kwenye AI sasa hivi, TZ tumelala hivyo vijana wenye nia wanaweza kupata kandarasi nzuri hapo baadae maana govt inaendeshwa kijima Sana na conservatives wa miaka ya 50's hivyo unawatoa ushamba.
Leo hii vijana wa miaka 18-25 Israel wanaweza kupewa kazi ya kupiga target ndani ya Iran na wanafanikiwa, hizi mambo ni machalii Tu ndo unakuta wanakomaa nazo, Leo kiongozi yoyote Yule wa nchi ya kusadikika akiamuliwa kumalizwa ni mara moja, collectively tumelala Sana.
Ardhini kuna TZ,burundi na angolawanakazi sana
US hawezi ardhini watadonolewa mmoja baada ya mwingine
Hizi comments za hivi ni za watu wanaofuata dini ya mwarabuwamarekani niwatu wajanja sana, wanaanzisha fujo,wanajifanya wasuluhishi,kisha wanamtoa kafara mmoja wao kuonesha wako serious.
Sawa najua huna uwezo wa kucomprehend, hii ni chungu Sana...bth nmeona mawazo yako.Hizo za satellite kuona pink arshini ni chai
M23 wakikaa wao kama wao hata Burundi hawaiwezi. Sasa US kwamba inapigwa hata na Burundi ardhini?wanakazi sana
US hawezi ardhini watadonolewa mmoja baada ya mwingine
Tuliambiwa hivyo kabla ya vita vya Afghanistan,hatukuona huo uwezo,tukaambiwa hivyo kabla ya vita vya hamas na Israel,tukaona Israel wamemuua sinawar bila kutarajiaSawa najua huna uwezo wa kucomprehend, hii ni chungu Sana...bth nmeona mawazo yako.
Sawa tufanye umeshinda ili tuokoe muda.Tuliambiwa hivyo kabla ya vita vya Afghanistan,hatukuona huo uwezo,tukaambiwa hivyo kabla ya vita vya hamas na Israel,tukaona Israel wamemuua sinawar bila kutarajia
Uwaweke refugee camp wakati mipaka ilivokatwa wao walibaki upande wa pili ambao ni congo 🇨🇩 mkuu.Nenda camp ya nyarugusu uone pale kuna wakimbizi wana miaka ila bado ni wakimbizi,kina kibu wamezaliwq makambini ila bado uraia wa TZ wakapewa uzeeni,mobutu aliwakosea sana wakongo kwa kuwaruhusu banyamulenge washaishi mtaani,angewawekea refugees camp kama alivyofanya nyerere
ujanja ujanja tu na kutuumiza waafrica.Anatoa pesa hii huku anaihamishia mfuko wa huku
sina dini ila mabeberu ndio wahusika wakuu wa vita hiyo.Hizi comments za hivi ni za watu wanaofuata dini ya mwarabu
ndio m23 wahame toka vita mwituni wajiboreshe angani viongozi wao watadonolewa mmoja baada ya mwingine rejea wakuu wa ugaidiM23 wakikaa wao kama wao hata Burundi hawaiwezi. Sasa US kwamba inapigwa hata na Burundi ardhini?