Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,240
Hii mada nilidhani kaandika mtu wa maana kumbe wewe hewa! Hovyo kabisa.
Punguza jazba,
Jiandae kisaikolojia.
Hii mada nilidhani kaandika mtu wa maana kumbe wewe hewa! Hovyo kabisa.
Mtanzania sio gazeti la kuamini n gazeti la pro lowasa
Unaota ndoto za mchana wewe
CCM ni taasisi sio sacoss mwisho wa lowasa na siasa zenu za kinafiki zitafikia oktoba 25
mwenyewe nimemshangaa sana huyu mzee anazeeka vibaya huyu si mojawapo wa washauri wa JK katika chama
Wakuu salama,
Hatimaye msekwa kasema CCM ipo mbioni kufa na walishajiandaa.
Msekwa naona amesoma alama za nyakati mapemaa,Kweli nimeamini UKAWA mpango wa Mungu.
Naomba mwenye magazeti ya leo atuwekee hapa.
Hii mada nilidhani kaandika mtu wa maana kumbe wewe hewa! Hovyo kabisa.
mwenyewe nimemshangaa sana huyu mzee anazeeka vibaya huyu si mojawapo wa washauri wa JK katika chama