Pole yake ila tusiharakie kulaumu. We ungemulize vipi anamaisha gani hapo Tanga. Mtu unaweza kuwa na afya mbovu kwasababu ya maradhi lakini ukawa na rasilimali au asset za maana. Usije na hukumu ya macho tena kukutana naye stendi. 'Its very wrong and simple conclusion of what we see in life' Maisha yetu wabongo tunajua, mwingine alishirikishwa kwasababu ya kipaji na ukute alilipwa pesa zake kama walivyokubaliana yeye akanywea zake kwa mnazi wengine wakawekeza. Sasa aliyenywea yake kwa
Mnazi utalaumu basata na kampuni aliyofanya nayo kazi? Pia zingatia huyo mzee alijitokeza kwenye
Media akiwa tayari aged, jiulize alitumiaje ujana wake? Si sekta ya usanii tu, wengi wamefanya kazi taasisi zenye mishahara mizuri lakini baada ya mkataba kuisha ukiwaona hutaamini kama aliwahi kufanya kazi. "Some of us are very poor in management of time and what we get".Huyo mzee anafahamika kwasababu alikuwa anaonekana kwenye media, wengi walikuwa na maisha mazuri kuliko huyo sasa wapo hoi ila kwasababu hawakufahamika kupitia media wanakufa kimya kimya.
Mkuu isome vizuri hiyo post yangu! Nimeongea kwa lugha ya ki utu uzima Mkuu. Hayo yote Mawili yapo. Lakwanza ndio limeletea hiyo hali ya pili. Nililivyo mdodosa majibu yake yanaondoa hiyo shaka yako mkuu.
Umesahau kumpiga picha
Mkuu sikua nimejiandaa kukutana na hilo! Kwani nilipatwa na mshangao. Ila ni vyema vyombo vya habari vikamtafuta na kufanya nae documentary. Jamii inapaswa kulifahamu hili. Maana hua tunakaa sebuleni na kufurahia kazi zake kumbe mwenyewe anateseka.
we utakuwa na mapenzi nae binafsi tu, jenerali amejaribu kukuelekeza kwa kina lakini uelewi. Mi nakaa sebuleni nakunja na 4 kabisa coz' nimenunua sijaiba, kuchoka kimaisha ni suala la mtu binafsi usikute hata nduguze wamlimchoka we ukajiona una huruma kumbe wanaokuzunguka wanakuona una kimbelembele
Na ungemkuta ameulamba unge conclude mzee mambo yake supa. Unaweza kukuta yuko poa sema kwa kuwa umemkuta kituo cha basi na hakuvaa vizuri basi ukahukumu mzee kapinda!
Na ungemkuta ameulamba unge conclude mzee mambo yake supa. Unaweza kukuta yuko poa sema kwa kuwa umemkuta kituo cha basi na hakuvaa vizuri basi ukahukumu mzee kapinda!
Halafu labda alikuwa location ndo maana akavaa ovyo si unajua tena wachekeshaji wetu kibongobongo
Jamani someni vizuri hiyo post yangu! Mnataka mpaka watoto wajue naongelea nini! Kama issue ni Mavazi wala nisinge poteza muda wangu juu ya hili, kwani hata jina lake halisi ilikua silijui, ameniambia yeye mwenyewe. Kila nilicho andika hapa sija hadithiwa na mtu. Nimetumia lugha ya kiiungwana kuelezea scenerio nzima. Issue nzima ni kwamba mzee yupo kwenye hali tete! Na hilo sio jambo la kuficha. Hebu vyombo vya habari vimufuatilie pale Tanga ili viweze kuhojiana nae. Inasikitisha.
Mimi nadhani watu wenye akili timamu na wasio kua na akili za kushikiwa, wameshanielewa.
You won't get off easy because of only talent you have, if you don't work hard you are out. Things like panctuality, to be ready and excercising all the time and in your major field, you have to take outside classes ( learning new things ) all the time.
There are more than a million peoples in the World call themselves actors/actress, and only two percents of them are making a living at it. Most of those do commercials to pay the rent. The rest are doing any job even cleaning or living on help and hope.
Don't think talent is enough to get you through. You gotta have a strong technique and a good agent. Otherwise, try another field.