PreGE2025 Msanii wa 'Bongo Movie' awashukia viongozi wa dini waliotaka Lissu aachiwe, ahoji maagizo hayo yametoka kwa Bwana?

PreGE2025 Msanii wa 'Bongo Movie' awashukia viongozi wa dini waliotaka Lissu aachiwe, ahoji maagizo hayo yametoka kwa Bwana?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Wakuu sasa naona wameamua kuwatumia na wasanii ili kuwananga viongozi wa dini, juzi tulimsikia Sheikh Mwaipopo na sasa ni wasanii. Vita dhidi ya haki ni nzito

===

Msanii wa filamu Tanzania Jimmy Mafufu ambaye pia hivi karibuni alitangaza kurudi CCM akitokea CHADEMA amehoji kauli zinazotolew ana viongozi wa dini ni Bwana (Mungu) ndiye amewaagiza ama ni msimamo wao binafsi? Mafufu ameyasema hayo jana 23/04/2025 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habri.

Amehoji mbona Lissu na wenzake walipozungumzia uasi viongozi hao hawakusema kitu?

Soma: Pre GE2025 - Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti
 
Unajua Tanzania hatuishi real tunaigiza tu kombolela
 
  • Thanks
Reactions: K11
Wakuu sasa naona wameamua kuwatumia na wasanii ili kuwananga viongozi wa dini, juzi tulimsikia Sheikh Mwaipopo na sasa ni wasanii. Vita dhidi ya haki ni nzito

===

Msanii wa filamu Tanzania Jimmy Mafufu ambaye pia hivi karibuni alitangaza kurudi CCM akitokea CHADEMA amehoji kauli zinazotolew ana viongozi wa dini ni Bwana (Mungu) ndiye amewaagiza ama ni msimamo wao binafsi? Mafufu ameyasema hayo jana 23/04/2025 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habri.

Amehoji mbona Lissu na wenzake walipozungumzia uasi viongozi hao hawakusema kitu?
View attachment 3314245
Chama Cha Majambazi ukombozi wao upo kwa Wasanii!


Nashindwa kuwaelewa wenye akili bado wanaitukuza CCM!
 
Wakuu sasa naona wameamua kuwatumia na wasanii ili kuwananga viongozi wa dini, juzi tulimsikia Sheikh Mwaipopo na sasa ni wasanii. Vita dhidi ya haki ni nzito

===

Msanii wa filamu Tanzania Jimmy Mafufu ambaye pia hivi karibuni alitangaza kurudi CCM akitokea CHADEMA amehoji kauli zinazotolew ana viongozi wa dini ni Bwana (Mungu) ndiye amewaagiza ama ni msimamo wao binafsi? Mafufu ameyasema hayo jana 23/04/2025 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habri.

Amehoji mbona Lissu na wenzake walipozungumzia uasi viongozi hao hawakusema kitu?
View attachment 3314245

Gombe:

Screenshot_20250306-183123_1.jpg
 
Mwambieni kuwa viongozi wa Dini pia watatuambia tusitizame filamu zake soon
 
Utapasua koromeo buree,kuyatajataja hovyo majina ya Wazalendo wetu ni kukosa adabu ,Wataje taje Wacheza Katuni wenzako
 
Hayabnayo yamekuwa na nguvu ya kuhoji kauli za watumishi wa Mungu?. Amani ya Tx na ikome tuzichape Kati ya ccm na ng'ombe wake dhidi ya wapigania HAKI. Nafikiri ndio heshima itakuwepo....
 
Wakuu sasa naona wameamua kuwatumia na wasanii ili kuwananga viongozi wa dini, juzi tulimsikia Sheikh Mwaipopo na sasa ni wasanii. Vita dhidi ya haki ni nzito

===

Msanii wa filamu Tanzania Jimmy Mafufu ambaye pia hivi karibuni alitangaza kurudi CCM akitokea CHADEMA amehoji kauli zinazotolew ana viongozi wa dini ni Bwana (Mungu) ndiye amewaagiza ama ni msimamo wao binafsi? Mafufu ameyasema hayo jana 23/04/2025 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habri.

Amehoji mbona Lissu na wenzake walipozungumzia uasi viongozi hao hawakusema kitu?
View attachment 3314245
Soma: Pre GE2025 - Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila mashar
Kwa maoni yangu, Rais wa TEC alihoji kisomi. Na kwa mujibu wa Katiba yetu "kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake" (Ibara 18).
 
Wakuu sasa naona wameamua kuwatumia na wasanii ili kuwananga viongozi wa dini, juzi tulimsikia Sheikh Mwaipopo na sasa ni wasanii. Vita dhidi ya haki ni nzito

===

Msanii wa filamu Tanzania Jimmy Mafufu ambaye pia hivi karibuni alitangaza kurudi CCM akitokea CHADEMA amehoji kauli zinazotolew ana viongozi wa dini ni Bwana (Mungu) ndiye amewaagiza ama ni msimamo wao binafsi? Mafufu ameyasema hayo jana 23/04/2025 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habri.

Amehoji mbona Lissu na wenzake walipozungumzia uasi viongozi hao hawakusema kitu?
View attachment 3314245
Soma: Pre GE2025 - Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti
Huyu alisha changanyikiwaga so wakupotezea. Anawasemea vijawa wa wapi. Mpuumbaaavuuu huyo. Haha eti wasanii au wananjaa tupu
 
Kuna wakati natamani nisiingie kwenye mitandao maana nikikutq habari kama Hz , viongozi wa upinzani wanateswa halafu unakutana na wapuuzi kama hawa (machawa) naumia sana ila sina namna
Inaumiza sana zamani mm nilikuwa nawa ignore kenge dizain ya kipara kipya ila baadae nikaona Haina maana unapotezea tu mashudu yao wanayotema
 
Back
Top Bottom