Alikuwa na shida kwenye figo/mapafu. Alitkwenda kutubiwa India kwa muda mrefu kidogo, alipata nafuu. Ila hapa majuzi alidondoka jukwaani wakati anawasalimia mashabiki, nadhani tangu siku hiyo hajanyanyuka tena.
RIP brother Sadiki Juma Kilowoko (SAJUKI)