Kapima na kuona ni wapi panamfaa kuwepo,ni uamuzi wa makini na ni mfano bora kwa vijana wanamuziki ambao muda mwingi wamekuwa wakitumika kwenye majukwaa ya chama fulani bila kufanyiwa kile wasanii wanachokitaka,natumai kuwepo kwake CHADEMA atapambana vizuri kuhakikisha kazi za wasanii zinawasaidia na kuwaendeleza wasanii.
Karibu kamanda Joseph kwenye mapambano ya kuikomboa nchi yetu.