Huu una miaka miwili ila kwangu ni bora kuliko za hawa walioimba sasa
Msechu anamkaribia kwa mwili tuWakuu nimesikiliza baadhi ya nyimbo za maombolezo zilizotolewa na wasanii mbalimbali Kama vile, Rayvan, Konde Boy, Msechu n.k..
Nikarudi kumsikiliza tena Capt. Komba kwenye nyimbo zake enzi zile za kumuaga Mwl. Nyerere aisee sijaona msanii aliyemfunika hadi Sasa.
Embu tujadili hapa mbadala was Capt. Komba ni nani? Au ndio pengo lake halizibiki?