THE BROKER
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 699
- 835
Wakuu nimesikiliza baadhi ya nyimbo za maombolezo zilizotolewa na wasanii mbalimbali Kama vile, Rayvan, Konde Boy, Msechu n.k..
Nikarudi kumsikiliza tena Capt. Komba kwenye nyimbo zake enzi zile za kumuaga Mwl. Nyerere aisee sijaona msanii aliyemfunika hadi Sasa.
Embu tujadili hapa mbadala was Capt. Komba ni nani? Au ndio pengo lake halizibiki?
Nikarudi kumsikiliza tena Capt. Komba kwenye nyimbo zake enzi zile za kumuaga Mwl. Nyerere aisee sijaona msanii aliyemfunika hadi Sasa.
Embu tujadili hapa mbadala was Capt. Komba ni nani? Au ndio pengo lake halizibiki?