ukwaju_wa_ kitambo
Senior Member
- Sep 15, 2024
- 146
- 166
Vipi hii historia unaikumbuka.
GCB KUNDI LA MUZIKI TOKA MKOANI SONGEA.
________________________
GCB ni moja Kati ya makundi ya mwanzo kabisa Nchini Tanzania kufanya Muziki kutokea mkoani "Songea"
GCB ilikua ni kifupisho Cha majina ya wasanii waliounda kundi hilo ..
👉🏿 G-G luck
👉🏿C-Cammy boy
👉🏿B -Bad H
Huko mkoani Songea kundi Hili walifanikiwa kufanya kazi na Producer "jof master"
Kundi hili Enzi Hizo liliundwa na vichwa vitatu (3) ambavyo ni:
👉🏿G luck,
👉🏿Cammy
👉🏿Bad H
Kundi Hili limekwisha fanya kazi nyingi sana
Lakini pia walifanya kazi na wasanii wengine ( collabo) kama vile
👉🏿NEY WA MITEGO
👉🏿ENDRU G
👉🏿PASHA
👉🏿 PNC
Na wengine wengi..
Wasanii wengi wa zamani Enzi Hizo walilazimika kusafiri kutoka mikoani hadi jijini Dar es salaam ili waweze kurekondi Kazi zao.
Lakini wao walifanya project nyingi na zuri wakiwa huko huko mkoani Songea..
Baadhi ya nyimbo walizofanya pamoja kama kundi ni kama vile
👉🏿Queen
👉🏿Nakonda
👉🏿Catherina
👉🏿Roho mbaya ft pnc
mwaka 2004 kundi Hili la Muziki kutokea mkoani Songea lilivunjika na kubaki na msanii mmoja ambaye aliamua kuendelea kupambana na muziki akiwa kama solo Artist jina lake anaitwa G Luck
Msanii huyu kwa jina G LUCK alifanya nyimbo kadhaa akiwa kama solo Artist Nyimbo Hizo ni kama vile:
👉🏿MPAKA SOO NA MOVIE YA KANUMBA (Ambayo tetesi zinasema kuwa inamlenga muigizaji lulu)
Lakini pia Msanii huyu aliweza kupata shavu katika matamasha ya FIESTA mwaka 2014 Baada ya kuwa mshindi wa "super Nyota" kutokea Mkoani Songea..
Mashindano ambayo yaliokuwa yanaandaliwa na "clouds Media Group"
Akiwa mshindi wa "Super nyota" msanii kutokea Mkoani "Songea"
Ambapo alizunguka kila mkoa kwenye matamasha ya FIESTA ilipopita ..
Ameshawai kutoa Ngoma yake iitwayo
Wa kwako je? ft Amini.
Kwa sasa msanii G Luck amegeukia upande wa siasa ambapo sasa ni mwenyekiti wa "UVCCM"
Kata ya Mshangano Songea mjini lakini pia Msanii Cammy boy kwa sasa ni muimbaji wa Nyimbo za injili katika kanisani linaitwa "RAGT" Mkoani Songea..
Hiyo ndio ilikuwa historia ya kundi Hili la Muziki kutokea mkoani Songea..
UKWAJU WA KITAMBO
0767 542 202
GCB KUNDI LA MUZIKI TOKA MKOANI SONGEA.
________________________
GCB ni moja Kati ya makundi ya mwanzo kabisa Nchini Tanzania kufanya Muziki kutokea mkoani "Songea"
GCB ilikua ni kifupisho Cha majina ya wasanii waliounda kundi hilo ..
👉🏿 G-G luck
👉🏿C-Cammy boy
👉🏿B -Bad H
Huko mkoani Songea kundi Hili walifanikiwa kufanya kazi na Producer "jof master"
Kundi hili Enzi Hizo liliundwa na vichwa vitatu (3) ambavyo ni:
👉🏿G luck,
👉🏿Cammy
👉🏿Bad H
Kundi Hili limekwisha fanya kazi nyingi sana
Lakini pia walifanya kazi na wasanii wengine ( collabo) kama vile
👉🏿NEY WA MITEGO
👉🏿ENDRU G
👉🏿PASHA
👉🏿 PNC
Na wengine wengi..
Wasanii wengi wa zamani Enzi Hizo walilazimika kusafiri kutoka mikoani hadi jijini Dar es salaam ili waweze kurekondi Kazi zao.
Lakini wao walifanya project nyingi na zuri wakiwa huko huko mkoani Songea..
Baadhi ya nyimbo walizofanya pamoja kama kundi ni kama vile
👉🏿Queen
👉🏿Nakonda
👉🏿Catherina
👉🏿Roho mbaya ft pnc
mwaka 2004 kundi Hili la Muziki kutokea mkoani Songea lilivunjika na kubaki na msanii mmoja ambaye aliamua kuendelea kupambana na muziki akiwa kama solo Artist jina lake anaitwa G Luck
Msanii huyu kwa jina G LUCK alifanya nyimbo kadhaa akiwa kama solo Artist Nyimbo Hizo ni kama vile:
👉🏿MPAKA SOO NA MOVIE YA KANUMBA (Ambayo tetesi zinasema kuwa inamlenga muigizaji lulu)
Lakini pia Msanii huyu aliweza kupata shavu katika matamasha ya FIESTA mwaka 2014 Baada ya kuwa mshindi wa "super Nyota" kutokea Mkoani Songea..
Mashindano ambayo yaliokuwa yanaandaliwa na "clouds Media Group"
Akiwa mshindi wa "Super nyota" msanii kutokea Mkoani "Songea"
Ambapo alizunguka kila mkoa kwenye matamasha ya FIESTA ilipopita ..
Ameshawai kutoa Ngoma yake iitwayo
Wa kwako je? ft Amini.
Kwa sasa msanii G Luck amegeukia upande wa siasa ambapo sasa ni mwenyekiti wa "UVCCM"
Kata ya Mshangano Songea mjini lakini pia Msanii Cammy boy kwa sasa ni muimbaji wa Nyimbo za injili katika kanisani linaitwa "RAGT" Mkoani Songea..
Hiyo ndio ilikuwa historia ya kundi Hili la Muziki kutokea mkoani Songea..
UKWAJU WA KITAMBO
0767 542 202