Msanii Ebitoke alia hadharani akimtaka Ben Paul kimapenzi

hebu tuondolee upuuzi huu. (Tico) Kachumia ameanza kutuchezesha na comedian wake sasa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Msanii wa vichekesho Anna Exavery a.k.a Ebitoke amefunguka na kusema yupo serious akimtaka Ben Paul awe mpenzi wake
Amedai ameanza kumzimia kitambo kabla hajawa maarufu ial hkuweza kuonana nae kwa kuwa alikuwa hafahamiki



Ameongezea ujumbe wake akimuonyesha mtoto wake umemuumiza sana kwakuwa alikuwa anasubiria jibu kutoka kwake,
Pia kuna siku alipost picha na kuandika ujumbe wake kisha Ben Paul akamjibu na kumuonyesha alama za love akadhani amemuelewa ila kuja kuona kwenye akaunt yake akashangaa kuona picha ya mtoto wake lakini mtoto wake anaweza kuishi nae akamlea,

Amedai ameongea akilia kwa sababu anaumia na skendo yake ya kupakwa mafuta haijali sababu anampenda mnoo

Nimemshusha thamani sana kwa jambo hili ,nilikuwa namkubali lakini kwa sasa nakaona kama katahira fulani ambacho hakajielewi .
 
Back
Top Bottom