Ameamua luweka mambo hadharani ujumbe umfikie mlengwa
Msanii wa vichekesho Anna Exavery a.k.a Ebitoke amefunguka na kusema yupo serious akimtaka Ben Paul awe mpenzi wake
Amedai ameanza kumzimia kitambo kabla hajawa maarufu ial hkuweza kuonana nae kwa kuwa alikuwa hafahamiki
Ameongezea ujumbe wake akimuonyesha mtoto wake umemuumiza sana kwakuwa alikuwa anasubiria jibu kutoka kwake,
Pia kuna siku alipost picha na kuandika ujumbe wake kisha Ben Paul akamjibu na kumuonyesha alama za love akadhani amemuelewa ila kuja kuona kwenye akaunt yake akashangaa kuona picha ya mtoto wake lakini mtoto wake anaweza kuishi nae akamlea,
Amedai ameongea akilia kwa sababu anaumia na skendo yake ya kupakwa mafuta haijali sababu anampenda mnoo
dalili za u tomboy hizi,utamtamanije mwanamke mwenzako??Natamani niwe Ben pol
Kanatafuta kiki hako ,kameniudhi kweliHa ha haaaa,aisee ben paul,msikilize dada wa watu,Muonee huruma.mapenzi sio mchezo.ha ha haaaa
Yaleyale ya Hamorapa na Wame Sepa tutangu lini watu wakatongozana kwenye media??