Huyu jamaa nae ni mkali sana cjui kwann hatok dah wadau ebu tumjadil huyu jamaa Management au.........Kisakaaaa!!
Huyu jamaa nae ni mkali sana cjui kwann hatok dah wadau ebu tumjadil huyu jamaa Management au.........Kisakaaaa!!
Anarap na kuimba, namfananisha na Josylin japo hamfikii
Yes..
Jamaa ni dizain ya joslin na blue..
Ana rap na kuimba..
That is talent..
Ngoma yako mpya inaitwajeeEndeleeni tu kunijadili,nadhan ntajifunza kitu hapa.
Pombe nakunywa kama wengne wanywavyo si kweli kwamba mi ni mlevi kama wachache wanavonituhumu
Endeleeni tu kunijadili,nadhan ntajifunza kitu hapa.
Pombe nakunywa kama wengne wanywavyo si kweli kwamba mi ni mlevi kama wachache wanavonituhumu
Endeleeni tu kunijadili,nadhan ntajifunza kitu hapa.
Pombe nakunywa kama wengne wanywavyo si kweli kwamba mi ni mlevi kama wachache wanavonituhumu