Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,652
Kwenye kitiWew unalal kweny kitanda
Kwenye kitiWew unalal kweny kitanda
nguvu inayotumika kuaminisha umma kwamba ni kweli.ingetumika kutafuta jinsi gani kupata pesa tungekuwa mbali mno jamani.KWA nini vijana wa Tz mnapenda sana kuanzisha Uzi wa habari za UDAKU kama hizi badala ya kuanzisha Uzi wa habari zenye mashiko zinazohusu vijana kupeana mbinu bora NA sahihi za kuboresha maisha yao binafsi?? Vijana wengi huko nyumbani Tz hawana ajira wala kazi za maana za kuwaingizia kipato, badala ya ku-deal na tatizo hili kwanza mnajikita kuelezea unyumba wa MTU , inawahusu nini ??
Ndio maana udaku ukawepo. Wanaotafuta pesa hata muda wa kufungua habari za udaku hawananguvu inayotumika kuaminisha umma kwamba ni kweli.ingetumika kutafuta jinsi gani kupata pesa tungekuwa mbali mno jamani.
kisa alikiba tu au mnabeef behind ?Ni ktk kuwaelimisha Watu wajinga wajinga waliopotoka kama wewe .
Wewe ndoa ya Kiba inakuhusu nini? Unataka uolewe wewe?Au alikuwa unaona kuwa huyo mwanamke alikuwa anakuzibia ridhiki???
Tafuta pesa, deal NA maisha yako, achana NA mambo ya kishoga kama hayo.
mama kiba anatoa wapi hela za kujenga?hivi mkuu pale nikwa kiba au kwa mama yake kiba kipi ni sahihi kiba anaishi kwao na mke wake au familia ya kiba inaishi kwa kwaba?
Si ndio kama hivyo wanarundikana kwenye nyumba za watu na kuleta mvurugano kwenye ndoa za watu..KWA nini vijana wa Tz mnapenda sana kuanzisha Uzi wa habari za UDAKU kama hizi badala ya kuanzisha Uzi wa habari zenye mashiko zinazohusu vijana kupeana mbinu bora NA sahihi za kuboresha maisha yao binafsi?? Vijana wengi huko nyumbani Tz hawana ajira wala kazi za maana za kuwaingizia kipato, badala ya ku-deal na tatizo hili kwanza mnajikita kuelezea unyumba wa MTU , inawahusu nini ??
mama kiba anatoa wapi hela za kujenga?
Umefuata mini huku hizo nyuzi zipo jamii intelligence huku unafuata nini acha ujuaji mkuuKWA nini vijana wa Tz mnapenda sana kuanzisha Uzi wa habari za UDAKU kama hizi badala ya kuanzisha Uzi wa habari zenye mashiko zinazohusu vijana kupeana mbinu bora NA sahihi za kuboresha maisha yao binafsi?? Vijana wengi huko nyumbani Tz hawana ajira wala kazi za maana za kuwaingizia kipato, badala ya ku-deal na tatizo hili kwanza mnajikita kuelezea unyumba wa MTU , inawahusu nini ??
BAK umeiona hii comment! hahahahaUtitiri wa watu kwenye nyumba haupendezi. Bi Amina anakosa uhuru wa kumuonyesha Ally mambo alovundwa na SOMO yake .Akizunguka huku mtu kirudi kule mwengine atamuonyesha saa ngapi MIZUNGU alochezwa na NYAKANGA.. kingine watu wa mombasa washajizoelea usiku ki wali ,andazi na harage la kukata na juisi nzitooo sasa kwa utitiri huo si ndo mambo ya kupika makande kilo nne
BAK umeiona hii comment! hahahaha
Mambo ya maendeleo binafsi kamsikilize Joel Nanauka. Huku ni udaku kwa kwenda mbeleKWA nini vijana wa Tz mnapenda sana kuanzisha Uzi wa habari za UDAKU kama hizi badala ya kuanzisha Uzi wa habari zenye mashiko zinazohusu vijana kupeana mbinu bora NA sahihi za kuboresha maisha yao binafsi?? Vijana wengi huko nyumbani Tz hawana ajira wala kazi za maana za kuwaingizia kipato, badala ya ku-deal na tatizo hili kwanza mnajikita kuelezea unyumba wa MTU , inawahusu nini ??
Kama ulivyocomment weweHizi ndo mada za wabongo wata comment paka basi ..........mheshimu private life za watu, kua hasi kwa watu walio fanikiwa hatutatomboa haya maisha
Ndio Watu hao hao jioni ukirudi nyumbani kutoka kwenye mihangaiko ya utafutaji unaona wanakuja kukupiga mizinga, utaona anasema "naomba nikopeshe elfu hamsini, nitakurudishia baada ya wiki moja tu, nisaidie aisee". Ukimwambia sina hela ona atakavyokulaumu, utamsikia anasema, " jamaa ana roho mbaya sana, tena bahili sana, ukimlilia shida hakusaidii".nguvu inayotumika kuaminisha umma kwamba ni kweli.ingetumika kutafuta jinsi gani kupata pesa tungekuwa mbali mno jamani.
Elimu yalo goigoiHizi ndo mada za wabongo wata comment paka basi ..........mheshimu private life za watu, kua hasi kwa watu walio fanikiwa hatutatomboa haya maisha
mbona nyuzi za michongo zipo...acha watu warelax kidogo ..utu uzima na userious peleka kwenye kikao cha familia mkuuKWA nini vijana wa Tz mnapenda sana kuanzisha Uzi wa habari za UDAKU kama hizi badala ya kuanzisha Uzi wa habari zenye mashiko zinazohusu vijana kupeana mbinu bora NA sahihi za kuboresha maisha yao binafsi?? Vijana wengi huko nyumbani Tz hawana ajira wala kazi za maana za kuwaingizia kipato, badala ya ku-deal na tatizo hili kwanza mnajikita kuelezea unyumba wa MTU , inawahusu nini ??