gatty
Member
- Feb 28, 2014
- 64
- 13
Katika pita pita zangu Leo nimekutana na kundi la watu wa kike na wakiume wakibishana baadhi ya upande wa kike wamelalamika kuwa wanaume wengi huwa ni wagumu kusema neno samahani au naomba unisamehe hata kama kafanya yy kosa kuomba samahan ni shughuli mmh huku wanaume wanadai wanawake ndio wagumu kuomba msamaha, niliishia kuwasikiliza tu ckuwa na Mimi majibu zaidi niliona bora nipate na Mimi maoni yenu kwenye hili jamvi......! Asante