Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,955
- 95,285
Hamna mtu niliyembeba moyoni. Nina amani tuhakuna kosa lisilotolewa msamaha...., tangaza mshamaha tu.., mimi bado kwanza
Hamna mtu niliyembeba moyoni. Nina amani tuhakuna kosa lisilotolewa msamaha...., tangaza mshamaha tu.., mimi bado kwanza
Mie sijakusamehe.Sidhani kama kuna mtu nilijua kuwa nimemkosea na sikumwomba msamaha. Me nikikukosea nakuwa hadi kero aisee, ntaomba msamaha kama naomba kazi vile lol. And kwa wanaonikoseaga, huwa nawasamehe hata kabla hawajaniomba msamaha + wengine hawajawahi hata kuniomba msamaha. Ila nilishawasamehe na sina kinyongo nao kabisaaaa
Leo umekuwa bandidu duuuh!!Siombi msamaha kwa uasherati. Labda niombe kwa Mungu coz yeye ndio nilimkosea.
Haha haya utakuta gazeti lako la msamaha baadayeMie sijakusamehe.
mi mwenyewe sijakusamehe.., anzia huku kwanzaMie sijakusamehe.
Kwa waliofikia huko waombane msamaha, it's okay. Otherwise kwa cases nilizopitia binafsi sioni sababu.Hivi imagine umemchumbia mtu ghafla ukamkimbia na akanywa sumu akafariki au mwingine hadi anachanganyikiwa. But hutojuta kwa sababu ni uasherati? Sometimes japo tunashare dhambi ila kuna maumivu tunayowapa wenzetu na yanaweza kubadilisha maisha yako kanisa. There is no harm in asking for forgiveness
Kwani nimewahi kukukosea!!mi mwenyewe sijakusamehe.., anzia huku kwanza
Niombe kwanza msamahaLeo umekuwa bandidu duuuh!!
Nisamehe ex darlingNiombe kwanza msamaha
..hadi moyo umerojeka..teh!! Hivi ndio nasikia watu wanapiga pambano bila kujielewaNisamehe ex darling
..hadi moyo umerojeka..teh!! Hivi ndio nasikia watu wanapiga pambano bila kujielewa
Mpendwa kumbuka huenda kwa namna moja ama nyingine umesababisha yeye kutenda huo uasherati.huenda bila wewe asingetenda hiyo dhambi.tunaambiwa Ole wake amsababishiae mwenzake makwazo.yakupasa kuomba msamaha na kwake pia.Tengeneza amani naye.Siombi msamaha kwa uasherati. Labda niombe kwa Mungu coz yeye ndio nilimkosea.
kuna coment yako ishawahi kunikwaza sana...., nadhani uniombe tu msamahaKwani nimewahi kukukosea!!
kuna coment yako ishawahi kunikwaza sana...., nadhani uniombe tu msamaha
Basi ndio usubiri hadi ukiwa na uhakika ndio utoe hiyo ahadi tena.Mie wani samehe wote nilio wakwaza, aidha kwa maneno, matendo, maandishi, au kuto timiza ahadi hasa ahadi ya kuoa baadhi ya wadada.