Natumai mpo njema wakuu.
Msamaha katika mapenzi ni ishara ya upendo wa kweli, ukiona mwenza wako anaomba msamaha after kukosea ujue anayajutia makosa yake hivo anaomba samahani kusawazisha alipokosa.
Mtu anaekupenda kwa dhati ni rahisi sana kuomba samahani akikosea bt kama hana upendo wa dhati hata akukosee haoni umuhimu wa kuomba samahani, ukiona hivo ujue mnasogeza siku tu wala hamna upendo wa kweli.
Wakuu hii ni njia nyepesi sana ya kumjua mwenza ulie nae kama ni mtu sahih au lah.
Nawatakia pumziko jema.
Msamaha katika mapenzi ni ishara ya upendo wa kweli, ukiona mwenza wako anaomba msamaha after kukosea ujue anayajutia makosa yake hivo anaomba samahani kusawazisha alipokosa.
Mtu anaekupenda kwa dhati ni rahisi sana kuomba samahani akikosea bt kama hana upendo wa dhati hata akukosee haoni umuhimu wa kuomba samahani, ukiona hivo ujue mnasogeza siku tu wala hamna upendo wa kweli.
Wakuu hii ni njia nyepesi sana ya kumjua mwenza ulie nae kama ni mtu sahih au lah.
Nawatakia pumziko jema.