Msama promotions, Kwanini mnachanganya dini na siasa?


huyu msama yuko kijaasiriliamali .

Amna kingine
 
Dini ya wanyonge hiyo, kila mtu huchezea jinsi anavyotaka halafu wenye dini yao wapo kimya tu. Dini ya wenzetu upande wa pili huwa haijaribiwi , hawataki utani na dini yao.
 
Dini ya wanyonge hiyo, kila mtu huchezea jinsi anavyotaka halafu wenye dini yao wapo kimya tu. Dini ya wenzetu upande wa pili huwa haijaribiwi , hawataki utani na dini yao.
Wao wenyewe ni tatizo,oooh yesu Mungu,,andiko linasema Mungu si mtu,wenye akili kubwa wakaona wacheze na akili zao zilivyo,

Kwa Nini uvunje vidole mechi ya kirafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…