PreGE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa aipa wiki moja CHADEMA ijibu barua ya Mchome

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Cdm wasiache washikilie hapo hapo No reforms na election. Lazima vibaraka wa ccm wote wajitokeze.
Chadema wana akili sana.

Wanasheria wote wabobezi nchi hii wapo CHADEMA. Wanamuangalia tu Msajili anavyoingia chaka na wapuuzi wenzake waliowekwa na CCM.

Hili suala halina mantiki yeyote wanazidi kuwafanya wananchi wajue kweli kuna shida kwenye mfumo wa Sheria za Uchaguzi na Demokrasia kwenye nchi hii.

Wamepigwa upofu ili wasione mbele.
 
Tundu Lissu kama Namuona vile... Ndiyo michezo yake kucheza na vifungu... Mchome ataambulia umaarufuu tu..
Atapigwa na huyo msajili wake watadharauliwa hadi na vizazi vyao vya nne.

Kwa namna watapigwa na CHADEMA itafika kipindi wajinga hawataitwa tena vihiyo bali Mutungi na Mchome
 
Hivi huyu mla rushwa Mutungi kwa nini hajastaafu? Umri wake ni zaidi ya 65. Tunaomjua tangu ujana wake, ni aibu kwa taifa kuwa na mtu kama yule kwenye ofisi kubwa ya umma
 
Hivi huyu mla rushwa Mutungi kwa nini hajastaafu? Umri wake ni zaidi ya 65. Tunaomjua tangu ujana wake, ni aibu kwa taifa kuwa na mtu kama yule kwenye ofisi kubwa ya umma
Anavuta bangi tangu akiwa msajili pale Mahakama Kuu,ni fedheha kuwa na mtu wa aina yake kwenye ofisi ya Serikali.
 
Huyo mchome anataka nini, kama vipi achomolewe anaturudisha nyuma
Huyu mpumbavu Mchome haijui vizuri CCM, wanamtumia kuleta mgogoro ndani ya Chadema halafu wanamtumia wasiojulikana kumuua kisha waisingizie Chadema. Kama kuna ndugu yake Mchome humu wamuonye anatumiwa kama chambo auwawe halafu waseme Chadema imemuua. CCM ni Chama Cha Mashetani.
 
Huyo Mchome alikuwa wapi enzi za Mwamba?
 
Ndugu zake waandae matanga tu huyu lazima ataliwa kichwa na kikosi kazi cha Mafwele.
 
Kinacholalamikiwa kuwa itafaki haikutimia kwa wajumbe kutimia? Sasa ikitokea kukubalika kuwa itifaki haikutimia na uteuzi ufanyike tema, m/kiti hawezi kuwachaguwa watu walewale aliowachagua kabla? Na kama inawezekana kwanini tunalumbana na mambo ya kijinga?
 
Tundu Lissu kama Namuona vile... Ndiyo michezo yake kucheza na vifungu... Mchome ataambulia umaarufuu tu..
Huyu mchome anajichanganya. Hivi uteuzi wa katibu mkuu wa chama ni uchaguzi? Halafu anaokoteza taarifa. Wenzao Wana list ya waliohudhuria kimaandishi, yeye anaangalia sura
 
Hakuna lolote hapo ni kampeni yano reforms no election tu.
Mbona hatuhasikia makala akiitwa?
Kule Dodoma ccm walivunja katiba waziwazi huyo msajili alikuwa wapi?
No reforms no election
 

Wameanza kama kawaida yao. Wanawatafutia Chadema mgogoro.

Mbona yule aliyedai Samia na Nchimbi hawakuchaguliwa kikatiba hawajawambia CCM wamjibu.

Anyway, Mnyika slishayolea ufafanuzi hilo. Hivyo ni swala tu la kuweka kwenye maandishi.
 
Na yule aliyesema Chadema watasambaza Ebola kapewa wiki ngapi athibitishe tuhuma zake? πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…