Msaidizi wa kufanana nawe

Msaidizi wa kufanana nawe

MBEBA MAONO KAJA

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
365
Reaction score
195
Mungu baada ya kumuumba Adamu na kumpa majukumu ya kufanya na kumpa misingi ya kufanya nini afanye na nini asifanye! Haya majukumu na maelekezo alipewa Adam kabla ya kuumbiwa Eva wake.
Mwz2:7-17

Hapa tunajifunza kwamba Adamu alikabidhiwa majukumu yote ya kuitunza eden na kanuni za kuishi.Mara baada ya Adam kupewa hayo majukum Mungu akaona siovema awe peke yake ndipo akaamua amfanyia msaidizi wakufanana nae Mwa2:18-22

Hapa tunaanza kuona kusudi la Ndoa kumbe mke aliumbwa ili kufanikisha kile alichopewa Adam kufanya.
Hata leo ndoa ina kusudi la kutimiza kusudi la Mwanadamu kuwepo duniani.

Mwz3:18 tunaona Mungu akisema mtu wa kufanana nae!Kumbe yupo ambae anaweza kuwa mke lkn sio wakufanana nae. Lazma mke awe wakufanana na mme.

Kufanana hapa sio surapekee japokuwa kweli wanandoa wengi wanafanana hadi sura. Hii huwa inatokea tu ukiniuliza kwanini nitajibu Mwz2:18.

Kufanana hapa ni Yeremia1:5 kabla haujazaliwa Mungu aliweka kusudi kwako.Mke anatakiwa aje kusaidia kutimiza hicho alicho umbiwa huyo Adam.

Kama alipewa kusudi la kueneza injili basi mke awe na mzigo wa kueneza injil huko ndio kufanana, kama ni kilimo basi afanane na hilo kusudi.

Mwana mme anapassword za kumfanya afunguke na kutumika vizuri kwa Bwana akija Mwanamke ambae ni wrong password tegemea kufa kwa kusudi aliloumbiwa huyo Adam.

Na kila mwanamke amepewa uwezo wa kufanikisha kusudi la Adam mmoja. Akienda kwa Adam asiefanana nae nae atakuwa nje ya kile alichoumbiwa.

Meli haiwezi kutemvea nchi kavu na pikipiki haiwezi kutembea baharin haziwe za thamani kiasigani?

SIKILIZA KWA MAKINI SAUTI YA MUNGU UNAPOKUWA KTK MAIMBI YA KUPATA MKE AU MME

Shetani nae anajua akikupa mtu asiefanana nawew ndio mwisho wa maono yako.Mke au mme ni njia ya kukufikisha kwenye kusudi uliloumbiwa.
 
Mungu baada ya kumuumba Adamu na kumpa majukumu ya kufanya na kumpa misingi ya kufanya nin afanye na nini asifanye!
Haya majukum na maelekezo alipewa Adam kabla ya kuumbiwa Eva wake.
Mwz2:7-17

Hapa tunajifunza kwamba Adamu alikabidhiwa majukumu yote ya kuitunza eden na kanuni za kuishi.

Mara baada ya Adam kupewa hayo majukum Mungu akaona siovema awe peke yake ndipo akaamua amfanyia msaidizi wakufanana nae Mwa2:18-22

Hapa tunaanza kuona kusudi la Ndoa kumbe mke aliumbwa ili kufanikisha kile alichopewa Adam kufanya.
Hata leo ndoa ina kusudi la kutimiza kusudi la Mwanadamu kuwepo dunian.

Mwz3:18 tunaona Mungu akisema mtu wa kufanana nae!
Kumbe yupo ambae anaweza kuwa mke lkn sio wakufanana nae. Lazma mke awe wakufanana na mme.
Kufanana hapa sio surapekee japokuwa kwel wanandoa weng wanafanana had sura. Hii huwa inatokeatu ukiniuliza kwann ntajibu Mwz2:18.
Kufanana hapa ni Yeremia1:5 kabla haujazaliwa Mungu aliweka kusudi kwako.
Mke anatakiwa aje kusaidia kutimiza hicho alicho umbiwa huyo Adam.
Kama alipewa kusudi la kueneza injil bhas mke awe na mzigo wa kueneza injil huko ndio kufanana, kama ni kilimo bhas afanane na hilo kusudi.
Mwana mme anapassword za kumfanya afunguke na kutumika vizur kwa Bwana akija Mwanamke ambae ni wrong password tegemea kufa kwa kusudi aliloumbiwa huyo Adam.
Na kila mwanamke amepewa uwezo wa kufanikisha kusudi la Adam mmoja. Akienda kwa Adam asiefanana nae nae atakuwa nje ya kile alichoumbiwa.
Meli haiwezi kutemvea nchi kavu na pkpk haiwezi kutembea baharin haziwe za thaman kiasigan?

SIKILIZA KWA MAKINI SAUTI YA MUNGU UNAPOKUWA KTK MAIMBI YA KUPATA MKE AU MME
Shetani nae anajua akikupa mtu asiefanana nawew ndio mwisho wa maono yako.
Mke au mme ni njia ya kukufikisha kwenye kusudi uliloumbiwa.



hii nimeipenda ni kweli kabisa kila kila eva ana adamu wake na kama ni ubavu basi kila ubavu una saizi yake! ukikosea tu unaweza pwaya ama ukalegea na kutumbukia!
maisha ya ndoa yana changamoto kubwa! na pengine kiza tulichowekewa na uvivu wa kuomba na kushindwa kuvumilia ni sababu ya kupata tusiowafaa na wasiotufaa!

Hakika ukimpata wa kufanana unakuwa umeipata furaha ya kweli!
 
hii nimeipenda ni kweli kabisa kila kila eva ana adamu wake na kama ni ubavu basi kila ubavu una saizi yake! ukikosea tu unaweza pwaya ama ukalegea na kutumbukia!maisha ya ndoa yana changamoto kubwa! na pengine kiza tulichowekewa na uvivu wa kuomba na kushindwa kuvumilia ni sababu ya kupata tusiowafaa na wasiotufaa!Hakika ukimpata wa kufanana unakuwa umeipata furaha ya kweli!EditReplyReport Post
 
Back
Top Bottom