Msaidieni mwanamke huyu

Msaidieni mwanamke huyu

Joined
Jul 6, 2025
Posts
14
Reaction score
19
Habari zenu wakuu wa JF

Sitaki kupoteza mda wenu kwa maneno marefu.
Nipo kwa kusudi Moja tu, Kumuombea kazi mwanamke jasiri ambaye kwa Sasa amepigwa na upepo wa maisha. Alikuwa amejitahidi kujitegemea, akajikusanyia mtaji mdogo na kuanzisha biashara yake ya kujikimu.

Kwa bahati mbaya vijana wahuni walimvamia usiku akiwa njiani kutoka kwenye biashara. Wakampora kila kitu alichokuwa nacho, wakampiga na kumvunjia ndoto zake papo hapo, mtaji wake uliishia mikononi mwa wasio na huruma.

Leo hii hana pakuanzia tena, Si mvivu si mkaaji ni mchapakazi mwenye heshima, nidhamu na moyo wa kujituma lakini Sasa kila kitu kimeyumba kwake.


Anaishi Dar es salaam, mbagala kijichi, hivyo kama nafasi hipo karibu na eneo hilo hata kwa utaratibu unaowezekana tafadhari tuwazie namna ya kumuinua


Nakuja kwa unyenyekevu kuwaonba wale wenye uwezo wa kumpa kazi yoyote ya halali, anafanya kwa heshima na kujituma.

Anaweza kufanya kazi za usafi

Anaweza kumsaidia madukani au hotelini

Anaweza kuwa muhudumu au hata winga wa duka kubwa

Kazi yoyote ya halali isiyo ya udhalilishaji yenye malipo ya halali ambayo siyo ya unyonyaji atafanya kwa moyo wake wote


Kuhusu elimu yake amesoma hadi darasa la saba, lakini akili ya kazi na heshima ni daraja la juu

Tafadhari kama unayo nafasi inayoweza kumsaidia kurejea kwenye mstari wa matumaini nipe ujumbe, Nitakupatia mawasiliano yake kwa Nia njema tu, siyo kwa maswali ya kashfa na kejeli

Tusimcheke aliyeanguka maana kesho, sisi tunaweza kuwa mahali pake, msaada wako unaweza kuwa njia ya kusaidia waliowengi.


Asanteni sana, Mungu hawabariki kwa moyo wa huruma
 
Habari zenu wakuu wa JF

Sitaki kupoteza mda wenu kwa maneno marefu.
Nipo kwa kusudi Moja tu, Kumuombea kazi mwanamke jasiri ambaye kwa Sasa amepigwa na upepo wa maisha. Alikuwa amejitahidi kujitegemea, akajikusanyia mtaji mdogo na kuanzisha biashara yake ya kujikimu.

Kwa bahati mbaya vijana wahuni walimvamia usiku akiwa njiani kutoka kwenye biashara. Wakampora kila kitu alichokuwa nacho, wakampiga na kumvunjia ndoto zake papo hapo, mtaji wake uliishia mikononi mwa wasio na huruma.

Leo hii hana pakuanzia tena, Si mvivu si mkaaji ni mchapakazi mwenye heshima, nidhamu na moyo wa kujituma lakini Sasa kila kitu kimeyumba kwake.


Anaishi Dar es salaam, mbagala kijichi, hivyo kama nafasi hipo karibu na eneo hilo hata kwa utaratibu unaowezekana tafadhari tuwazie namna ya kumuinua


Nakuja kwa unyenyekevu kuwaonba wale wenye uwezo wa kumpa kazi yoyote ya halali, anafanya kwa heshima na kujituma.

Anaweza kufanya kazi za usafi

Anaweza kumsaidia madukani au hotelini

Anaweza kuwa muhudumu au hata winga wa duka kubwa

Kazi yoyote ya halali isiyo ya udhalilishaji yenye malipo ya halali ambayo siyo ya unyonyaji atafanya kwa moyo wake wote


Kuhusu elimu yake amesoma hadi darasa la saba, lakini akili ya kazi na heshima ni daraja la juu

Tafadhari kama unayo nafasi inayoweza kumsaidia kurejea kwenye mstari wa matumaini nipe ujumbe, Nitakupatia mawasiliano yake kwa Nia njema tu, siyo kwa maswali ya kashfa na kejeli

Tusimcheke aliyeanguka maana kesho, sisi tunaweza kuwa mahali pake, msaada wako unaweza kuwa njia ya kusaidia waliowengi.


Asanteni sana, Mungu hawabariki kwa moyo wa huruma
Tatizo la watu kama hawa ukiwapa kazi wanalipiza kwa duka lako, hapa cha kumsaidia ni kumchangia tu pesa zitakazomuinua tu, nina wasiwasi kumpatia kazi dukani.
 
Habari zenu wakuu wa JF

Sitaki kupoteza mda wenu kwa maneno marefu.
Nipo kwa kusudi Moja tu, Kumuombea kazi mwanamke jasiri ambaye kwa Sasa amepigwa na upepo wa maisha. Alikuwa amejitahidi kujitegemea, akajikusanyia mtaji mdogo na kuanzisha biashara yake ya kujikimu.

Kwa bahati mbaya vijana wahuni walimvamia usiku akiwa njiani kutoka kwenye biashara. Wakampora kila kitu alichokuwa nacho, wakampiga na kumvunjia ndoto zake papo hapo, mtaji wake uliishia mikononi mwa wasio na huruma.

Leo hii hana pakuanzia tena, Si mvivu si mkaaji ni mchapakazi mwenye heshima, nidhamu na moyo wa kujituma lakini Sasa kila kitu kimeyumba kwake.


Anaishi Dar es salaam, mbagala kijichi, hivyo kama nafasi hipo karibu na eneo hilo hata kwa utaratibu unaowezekana tafadhari tuwazie namna ya kumuinua


Nakuja kwa unyenyekevu kuwaonba wale wenye uwezo wa kumpa kazi yoyote ya halali, anafanya kwa heshima na kujituma.

Anaweza kufanya kazi za usafi

Anaweza kumsaidia madukani au hotelini

Anaweza kuwa muhudumu au hata winga wa duka kubwa

Kazi yoyote ya halali isiyo ya udhalilishaji yenye malipo ya halali ambayo siyo ya unyonyaji atafanya kwa moyo wake wote


Kuhusu elimu yake amesoma hadi darasa la saba, lakini akili ya kazi na heshima ni daraja la juu

Tafadhari kama unayo nafasi inayoweza kumsaidia kurejea kwenye mstari wa matumaini nipe ujumbe, Nitakupatia mawasiliano yake kwa Nia njema tu, siyo kwa maswali ya kashfa na kejeli

Tusimcheke aliyeanguka maana kesho, sisi tunaweza kuwa mahali pake, msaada wako unaweza kuwa njia ya kusaidia waliowengi.


Asanteni sana, Mungu hawabariki kwa moyo wa huruma
Mwambie ajaribu hizi;
Anahitajika binti wa kazi maeneo ya Kijichi mbagala Dar es salaam.

Majukumu
1. Kupika chakula cha wote
2. Kufua na kupasi
3. Kufanya usafi wa ndani na nje ya nyumba/ bustani

Vigezo
1. Awe msafi sana
2. Awe na miaka kuanzia 18+ na kuendelea
3. Awe anatokea mikoa ya Dodoma, morogoro, Pwani
5. Awe na heshima
6. Awe mwaminifu
7. Awe amechangamka
8. Mwenye kujituma
9.awe mkristo

Mshahara .
Atalipwa kiasi Cha Tshs 60,000/= kwa mwezi

NB: familia ni ya watu watatu ,hakuna mtoto yeyote .

Kwa mwenye huhitaji wa hiyo fursa na mwenye hivyo vigezo apige simu kwa namba: 0711679445 anahitajika haraka🙏.

NAFASI YA KAZI

Natafuta mhasibu wa kike mwenye Diploma au Degree.

SIFA ZA MWAOMBAJI
1.Jinsia niya Kike na Awe na Umri usiozid miaka 28.
2.Ajue kutumia vizur program za kihasibilu especially Microsoft Excel.


Nb:Kituo cha kazi ni Mkoa wa Njombe.


Kampuni inajihusisha na kuuza vinywaji vya aina zote pia Boss ana magari amabayo yanajihusisha na usafirishaji wa Abiria na Mizigo.


*Mshahara ni kuanzia Sh 400,000/= kwa mwezi na pia mshahara utakuwa unaongezeka kulingana na utendaji kazi wako pia posho Boss kasema anatoa.

Pia Boss anamiliki Guest,Lodge n Bar

So muhasibu atakuwa na jukumu la kusimamia mapato na matumizi ya vyanzo vyote hivyo vya mapato.


Kwa aliye tayari na anasifa hizo hapa juu anichek Inbox Haraka ili aanze kazi hata kesho tu.

Inbox me your Cv through 0679301815...

Good morning Mr Robert, naomba ushare kwenye group nahitaji vijana wa marketing and sales kwa ajili ya interview immediately. Kampuni ni Bestan Textiles location banana Dar es salaam.
Contact. +255 716 444 938
 

ishi humo
 
Tatizo la watu kama hawa ukiwapa kazi wanalipiza kwa duka lako, hapa cha kumsaidia ni kumchangia tu pesa zitakazomuinua tu, nina wasiwasi kumpatia kazi dukani.
Hayupo hivyo maana mwanzo kabla ya kufanya biashara yake alikuwa anafanya kazi kwenye duka kubwa la nguo kama kinga ndiyo akajikusanya kusanya akaanzisha biashara yake ndogo
 
Kuna kazi unguja mshahara 200k kazi za nyumbani tu kama kupika. Nyumba ina watu wawili tu
 
Mhhh, Unguja hii hii ambayo ina vijana wengi tu mitaani hawana la kufanya kazi kutafuta watu wanaokula na kuwapiga viboko? Huu naona utakuwa mtego tu, usikute hao watu ni majini wanaotaka kulawiti wanadamu.
Unguja nani hana kazi ya kufanya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom