kauzu zaidi ya dagaa
Member
- Mar 2, 2013
- 37
- 5
Wanandoa waliachana wakiwa na mtoto mmoja,sasa kila mmoja anadai yeye ndiye anastahili kumtunza na kuish na mtoto mzozo ukawa mkubwa wakaamua kwenda mahakamani,kila mmoja akaanza kujitetea mbele ya hakimu.=>baba:asante sana hakimu mimi ndiye nastahili kumtunza na kuish na huyu mtoto,kwamfano hakimu umeenda ATM kuchukua pesa si unaingiza card na pesa zikitoka zinakua zako na sio za benki =>mama:asante hakimu na mimi nikupe mfano,wewe una shamba lako alafu mtu anapita akamwaga mbegu ya mti,ule mti ukakua utakuwa ni wa aliyemwaga mbegu au mwenye shamba...sasa msaidien huyu hakimu maana kesi imeahirishwa mpaka mwakani.