kwa kweli kile kipande cha barabara kinakera sana! nilipita mwaka 2009 Desemba nilikutana na watu wanaweka vipimo na wakadai baada ya miezi sita itakuwa imekamilika,lakini hadi leo hakuna chochote kero ni palepale!
Halafu unakuta mmekwama siku mbili hivi weee si mchezo balaa lake
hicho kipande kipomahali panaitwa somanga, nilipita early mwishoni mwa 2008, ni hicho ndo kilikuwa kisumbufu zaidi njia nzima. Walidai panakichanga sana na inabidi uchimbwe uondolewe wakalete kifusi kingine wamwage ndo ujenzi uanze! Lakini nnaona pamekua sugu.
Ha ha ha... Mpaka mje kupata funguo zenu maji yameisha mwilini....wenyeji humo washajua mkikwama tu wanasogeza sufuria za mihogo ya kuchemsha kwa sh hamsini hamsini...mkiringa njaa ikibana fresh mnaigombea kwa mia mbili mbili...halafu choo machakani
Inkos halafu choo machakani[/QUOTE said:Mkuu ni kunyamba mpori.
hizo central line na tazara zipo ICU
Halafu unakuta mmekwama siku mbili hivi weee si mchezo balaa lake