Arudishe kwanza nyumba za SERIKALI alizogawa kama Pipi kwa wenzake na yeye akajigawia.
Wajameni ndo kusema watu wa kanda ya ziwa wanamthamini mtu huyu kwa nafasi ya juu kabisa (Urais) hata kabla ya uchaguzi 2015 ?
Story nzima hapa chini, kazi twende!
MSAFARA wa Waziri wa Ujenzi, John Mgaufuli umeacha maswali jijini Mwanza baada ya kuwa na magari 26,viongozi mbalimbali wa mkoa na kusindikizwa na kuongozwa na pikipiki inayoongoza msafara wa viongozi wa kitaifa akiwa Rais.
Source : Mwananchi, 12 January 2013
Arudishe kwanza nyumba za SERIKALI alizogawa kama Pipi kwa wenzake na yeye akajigawia.
Anastahili kwa sababu ya hizo kazi zinazoonekana je Hekima anayo? urais si wa kukimbilia tu si unaona JK anavyochemka, Je na ile kashfa ya samaki aliliingizia taifa hasara kiasi gani.Anastaili, kazi yake tunaiona
Hutaki unaacha, Dr. John Pombe Magufuli anapiga jalamba
Rais wa ccm au wa watanzania????Namfagilia sana huyo bro na kama anataka upresidaa anastahili mpeni.
Namfagilia sana huyo bro na kama anataka upresidaa anastahili mpeni.
Magufuli is the next president after Kikwete
Rais wa ccm au wa watanzania????