Msafara wa Kikwete Mwanza (leo) umetuzuia kusali

kanisani ni mbali jua kali halafu si unajua huku mza tunaishi milimani ningerudisha gari nianze kushuka hadi kituoni ibada sa nne na nusu imagine hapo kama ningekuta kitu, ukweli nimekwazika ,what is so special in mza all the time when the man is here.nakwambia rais akiwa hap ni kama vile wengine hamruhusiwi kutumia magari yenu what the hell? dunia ya leo?
 
pole sana ,
tatizo ni kuwa viongozi tunawachagua baada ya hapo wanageuka miungu watu kwa nini barabara ifungwe muda mrefu wakati msafara wake hutanguliwa na magari ya ving'opra kuashiria mpishe sasa kama wanasimamisha magari ya wenye nchi penmbeni ili mwajiwa wao apite basi hakuna sababu ya kutumia kodi zetu kuweka mafuta gari la king'ora
watanzania tuamke
 
Pole sana kwa yaliyokukuta. Matatizo mawili Makubwa tuliyonayo ni ufinyu wa miondombinu iliyopo mijini ukilinganisha na idadi ya magari tulionayo na udumavu wa kiakili walionao mapolisi waongozao magari na maofisa usalama wapangao utaratibu wa safari za Viongozi wa Kitaifa (raisi,waziri mkuu n.k)
Nakubaliana na wewe huenda walianza kuwasimamisha Mheshimiwa akiwa bafuni...hapa mjini(Dar) watu hawatumii vitanda vyao vya majumbani ipasavyo wanatoka usiku wanarudi usiku hivi muda hata wa kutoa/kupeana huduma stahili ya kindoa iletayo watoto wanaifanya saa ngapi? Kwa wafanyao reseach za Sociology watathmini ndoa ngapi zinavunjika kwasababu hii...I can bet thinkers will be suprised.
 
Ndugu yangu Sweetbaby unaniharibia upako wangu ukitaja tu jina la huyo Mkweere!! mie nimetoka kusalisa sasa hivi.
 
It is like tripple gloving when f**king an at risk person and yet one is not at ease at all. :banplease:
 
Leo nimetoka kwenda ,kusali nikakuta magari yamezuiwa, walikuwepo wakaniambia wamesimama zaidi ya lisaa ikabidi nirudi nyumbani sa hiyo ni sa 4 na robo.na Rais ametoka kama sa tano hivi inaonekana wakati magari yameanza kuzuiwa rais alikuwa bado amelala ,hivi nyie askari wa Mwanza mmetumwa kwa ajili ya udini au?yani hapa mwanza ishakuwa kero rais akija mbona Dar hawafanyi hivyo au huku mwanza usalama wake ni mdogo?tafadhali fungua kibarabara uende umetukwaza kiroho na kimwili.

Dar washamzoea, mwanza wanamwona ka Mungu fulani hv! Afu ingekuwa Ijumaa ziara ingeahirishwa.
 
Leo nimetoka kwenda ,kusali nikakuta magari yamezuiwa, walikuwepo wakaniambia wamesimama zaidi ya lisaa ikabidi nirudi nyumbani sa hiyo ni sa 4 na robo.na Rais ametoka kama sa tano hivi inaonekana wakati magari yameanza kuzuiwa rais alikuwa bado amelala ,hivi nyie askari wa Mwanza mmetumwa kwa ajili ya udini au?yani hapa mwanza ishakuwa kero rais akija mbona Dar hawafanyi hivyo au huku mwanza usalama wake ni mdogo?tafadhali fungua kibarabara uende umetukwaza kiroho na kimwili.

Crap crap
 
kanisani ni mbali jua kali halafu si unajua huku mza tunaishi milimani ningerudisha gari nianze kushuka hadi kituoni ibada sa nne na nusu imagine hapo kama ningekuta kitu, ukweli nimekwazika ,what is so special in mza all the time when the man is here.nakwambia rais akiwa hap ni kama vile wengine hamruhusiwi kutumia magari yenu what the hell? dunia ya leo?

............... amekusaidia kupunguza dhambi za ushirikina ! ............. duuuh nimepiga pabaya:dance:
 
Anh hiyo si Mwanza tu. Kuna thread iliwekwa hapa pia CDM walifanya maandamano amabyo waumini wa kiislam kule Mbeya waliokosa maandano hayo na pia walipita maeneo ya msikiti na hivyo kupunguza concentration kwenye ibada. Labda tuwaambie wanasiasa wetu waheshimu siku za Ibada.
 
Pole sana ndugu. Kuna udhaifu mkubwa wa watendaji wanao ratibu safari za Mh Rais. Inabidi wabadilike.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom