Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,317
- 1,159
Sijui kwa hili kama wanakuelewa.Mbwembwe zote hizo ni 4.8 km. Jamani wabongo wakati mwingine let's pretend to be serious🙁
Sijui kwa hili kama wanakuelewa.Mbwembwe zote hizo ni 4.8 km. Jamani wabongo wakati mwingine let's pretend to be serious🙁
Naona Ukistaajabu ya LIFT MBEYA, Utaona ya TAAA DODOMA.
![]()
![]()
![]()
Poleni sana majeruhi, Mwenyezi mungu awafanyie wepesi!
kumshirikisha MUNGU KWA WATU KAMA HAWA NI SAWA NA KUPOTEZA MUDA .
Hawana kazi za kufanya zaidi ya utalii wa ndani na nje ya nchi.
Magufuli kazi kutembea na wandishi wa habari taa za kuongozea barabarani nazo mpka uzinduzi?
Km4.8 unaweka jiwe ka msing?
Shame on u gambaz.!