Msafara wa Dkt. Magufuli wapata ajali Dodoma

Msafara wa Dkt. Magufuli wapata ajali Dodoma

Poleni sana ajali mbaya!

Poleni sana Magufuli na ujumbe wako.Katika kutumikia taifa kuna risk nyingi.ndivyo ilivyo kwa mtu yeyote.Hata msafara wa kwenda kuzika unapata ajali.Usikate tamaa kutumia fursa hizi kutembelea wananchi
 
Thamani ya hayo magari ni madarasa mangapi shule za msingi, ni zahanati ngapi. Yangenunuliwa magari ya bei nafuu.

Rwanda mawaziri wanatumia landrover 110
 
Wanatumia l/rover wakienda wapi.si watembee kama ndio kigezo chako

Kwahiyo wewe unasapoti hao mafisadi wanavyotumia magari ya gharama kubwa na kuliingizia taifa nawalipa kodi mzigo mkubwa?
 
Kwahiyo wewe unasapoti hao mafisadi wanavyotumia magari ya gharama kubwa na kuliingizia taifa nawalipa kodi mzigo mkubwa?

Fisadi ni wewe unayelaumu bure.sasa unataka waziri atembelee nini. Acha wivu.gombea ubunge na wewe
 
Fisadi ni wewe unayelaumu bure.sasa unataka waziri atembelee nini. Acha wivu.gombea ubunge na wewe

Unataka kunambia kuwa ukishagombea ubunge ndio unakuwa fisadi?Umekosea sana,kuna wabunge ni waadilifu sana,Ila wabunge wa ccm 98%ni mafisadi na waliojilimbikizia mali.
 
Fisadi ni wewe unayelaumu bure.sasa unataka waziri atembelee nini. Acha wivu.gombea ubunge na wewe

Alafu uelewe kuwa waziri siyo lazima utembelee v8,haijaandikwa ktk kanuni au ipo kikatiba.Ni ufisadi tu.
 
Alafu uelewe kuwa waziri siyo lazima utembelee v8,haijaandikwa ktk kanuni au ipo kikatiba.Ni ufisadi tu.

Kuwa waziri utembelee baiskeli.ndio sababu nakushari ugombee ubunge si vinginevyo
 
Kuwa waziri utembelee baiskeli.ndio sababu nakushari ugombee ubunge si vinginevyo

Mimi nikiwa Mbunge siwezi kuwa mwizi wa Mali za uma kwani ni mwadilifu sana.
 
attachment.php
 
Nchi ina mambo ya kipuuzi hii eti waziri anazindua taa za barabarani si upunguwani huu
 
Magufuli ndo raisi ajaye na mchpa kazi, wengine mnahangaika tu mara raisi kijana mara anae oka bumbuli, "ujana" tautamka ana ila ukweli uko pale pale "tunahitaji rais mchapa kazi" na si mnyoa unga au kijana
 
Back
Top Bottom