my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
inashndwa kudownload nmefuta appl zote nlzodownload lakin bado inasema memor aitosh. msada
+Ungeuliza kwenye jukwaa lake husika sasa hivi ungekua ushapata majibu kitambo
Bora umwambie fisi maji uyo kwanza azingatii kanuni za uandishi
nunua iphone
+Huyu jamaa sijui niaje alifungua uzi akasema watu wa hili jukwaa wamekaa kimbeambea sasa hivi anawauliza wamsaidie kasim kake ha haa haaa kavurugwa.
Kwenye app store imeset kila kitu kiingine kwenye simu badili na uweke kiingine kwenye memory na lazima ujue ubongo wa sinu yako una ukubwa gani ndio ujaze vitu kulingana na ubongoinashndwa kudownload nmefuta appl zote nlzodownload lakin bado inasema memor aitosh. msada
inashndwa kudownload nmefuta appl zote nlzodownload lakin bado inasema memor aitosh. msada