Msada kuhusu tatizo la Nissan Dualis

nagmaras

Member
Sep 9, 2015
45
25
Naombeni msaada gari yangu Nissan dualis steering imekuwa ngumu sana, haibadilishi gear ukiendesha mshale unapanda tuu ukishuka mpaka ushike break na pia ABS Inasoma kwenye dignosis.. In short imekuwa nzito sana.

Naombeni ushauri ni nini shida.
 
Naombeni msaada gari yangu nissan dualis steering imekuwa ngumu sana, haibadilishi gear ukiendesha mshale unapanda tuu ukishuka mpaka ushike break na pia ABS Inasoma kwenye dignosis.. in short imeuwa nzito sana..Naombeni ushuri ni nini shida.
Nakushauri ipeleke gari kwa fundi mtaalam wa magari kwanza
 
Gari mbovu unakuja kuomba ushauri jf badala ya kupeleka gereji.

Inaeleweka hiyo gari toka ununue haujawahi kuifanyia service...

Yes kuna jamaa yangu mmoja kama wewe, yeye alijua ukinunua gari unaendesha tu mpaka siku ikiacha kuwaka ndo unapeleka kwa fundi.

Basi jamaa aliendesha mwaka mzima bila kufanya chochote tangu anunue...drive shaft zikawa zinapiga kelele anashangaa imekuwaje...na hajui cha kufanya. Yeye alidhani ugonjwa wa gari ni kuto kuwaka basi.
 
Gari mbovu unakuja kuomba ushauri jf badala ya kupeleka gereji.

Inaeleweka hiyo gari toka ununue haujawahi kuifanyia service...

Yes kuna jamaa yangu mmoja kama wewe, yeye alijua ukinunua gari unaendesha tu mpaka siku ikiacha kuwaka ndo unapeleka kwa fundi.

Basi jamaa aliendesha mwaka mzima bila kufanya chochote tangu anunue...drive shaft zikawa zinapiga kelele anashangaa imekuwaje...na hajui cha kufanya. Yeye alidhani ugonjwa wa gari ni kuto kuwaka basi.
🤣🤣🤣 dah
 
Gari mbovu unakuja kuomba ushauri jf badala ya kupeleka gereji.

Inaeleweka hiyo gari toka ununue haujawahi kuifanyia service...

Yes kuna jamaa yangu mmoja kama wewe, yeye alijua ukinunua gari unaendesha tu mpaka siku ikiacha kuwaka ndo unapeleka kwa fundi.

Basi jamaa aliendesha mwaka mzima bila kufanya chochote tangu anunue...drive shaft zikawa zinapiga kelele anashangaa imekuwaje...na hajui cha kufanya. Yeye alidhani ugonjwa wa gari ni kuto kuwaka basi.
Hilo ni tatizo la wengi, hasa wale 1st time car owners.
Gari lina maintainance aina mbili kuu:
1. Preventive maintainance
Hapa unaifanyia ukaguzi gari KILA SIKU.
Ongeza maji ya wiper, oili ya engine, tyre pressure etc

2.Regular scheduled maintainance
Hapa gari inaenda garage. Badili oil ya engine, gear box, diff, na kucheki clutch, spark plugs na vitu vingine vingi.
Hii inafanyika kila baada ya km 4000 au km 5000.

Vile vile gari linataka kusikilizwa na kulifeel kama binadamu.
Je mlio wa engine umebadilika?
Hapo dalili ya tatizo-haraka kuwahi garage.
Je usukani unavuta upande mmoja-kucheck tyre pressure, au matairi au wheel balance.

Ukitunza gari yako vizuri basi linakaa hata 10 years na ukaiuza kwa resale value nzuri tu.
Kuna magari barabarani Reg D, utafikiri yako barabarani miaka 10.
TUNZA GARI YAKO!
 
Gari mbovu unakuja kuomba ushauri jf badala ya kupeleka gereji.

Inaeleweka hiyo gari toka ununue haujawahi kuifanyia service...

Yes kuna jamaa yangu mmoja kama wewe, yeye alijua ukinunua gari unaendesha tu mpaka siku ikiacha kuwaka ndo unapeleka kwa fundi.

Basi jamaa aliendesha mwaka mzima bila kufanya chochote tangu anunue...drive shaft zikawa zinapiga kelele anashangaa imekuwaje...na hajui cha kufanya. Yeye alidhani ugonjwa wa gari ni kuto kuwaka basi.
Oil change,break fluid na transmission fluid na coolant hajawahi kuchange wala kuongeza? Break pad imefika mwaka hajui zimetumikaje?😂😂
 
Naombeni msaada gari yangu Nissan dualis steering imekuwa ngumu sana, haibadilishi gear ukiendesha mshale unapanda tuu ukishuka mpaka ushike break na pia ABS Inasoma kwenye dignosis.. In short imekuwa nzito sana.

Naombeni ushauri ni nini shida.
Hicho ni kifaduro cha Nissan mkuu, kimeshaumana hapo tafuta mtaalamu mzuri tu vinginevyo itakuwa msiba.
 
Naombeni msaada gari yangu Nissan dualis steering imekuwa ngumu sana, haibadilishi gear ukiendesha mshale unapanda tuu ukishuka mpaka ushike break na pia ABS Inasoma kwenye dignosis.. In short imekuwa nzito sana.

Naombeni ushauri ni nini shida.
Kuhusiana na steering kua ngumu... Nissan Dualis inatumia steering ya umeme.. so steering ikiwa ngumu maana yake mota ya steering assist haifanyi kazi.. angalia kwenye dashboard yako je taa ya EPS imeweka? Kama imewaka basi rekebisha hilo tatizo.. and sometimes it can be a simple reason labda fuse imeungua so una-change fuse steering inakua poa.

Kuhusiana na gari kua nzito itakua hiyo gari umechange transmission fluid ambayo si recommend kwenye hiyo gari. Nissan Dualis inakuja na CVT transmission system inayotumia NS-2 transmission fluid... Sasa yawezekana umeweka hydraulic nyingine ambayo ni tofauti na NS-2... Na kama transmission yako imesha kuzingua kutokana na kuweka hydraulic isiyotakiwa basi mkuu imesha kufa hyo gearbox.. so peleka kwa fundi ukuangalizie... Unaweza jikuta unatakiwa ununue gearbox nyingine endapo clutches zitakua zimesha ungua... (Na kama itakua na dalili kama hizi mfano kuishiwa nguvu kiasi cha kushindwa kupanda hata kimlima , kustuka ukiweka gear basi jiandae na gear box mpya... Inauzwa 600,000)
 
Back
Top Bottom