Msaada

Mjela

Member
Mar 12, 2013
88
18
Jamani msaada mwanangu anaumwa mafua hata week mbili hajafikisha,wataalamu mnanishauri nini?
 
madaktari hawashauri mtoto mchanga kupewa dawa ya mafua, ila kama pua zinaziba matone ya saline huzibua pua. pia mvalishe kofia na soksi
 
Ahsante Queen kwa ushauri wako hayo matone ya saline ni dawa?inapatikana pharmacy?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom