M Mjela Member Mar 12, 2013 88 18 May 24, 2014 #1 Jamani msaada mwanangu anaumwa mafua hata week mbili hajafikisha,wataalamu mnanishauri nini?
queeny JF-Expert Member Nov 1, 2012 584 420 May 24, 2014 #2 madaktari hawashauri mtoto mchanga kupewa dawa ya mafua, ila kama pua zinaziba matone ya saline huzibua pua. pia mvalishe kofia na soksi
madaktari hawashauri mtoto mchanga kupewa dawa ya mafua, ila kama pua zinaziba matone ya saline huzibua pua. pia mvalishe kofia na soksi
M Mjela Member Mar 12, 2013 88 18 May 24, 2014 Thread starter #3 Ahsante Queen kwa ushauri wako hayo matone ya saline ni dawa?inapatikana pharmacy?