Kwanza miaka sita, sio mingi sana kwa hesabu za sikuhizi. Labda tatizo umri ukiwa umesogea kujaribu kunaweza kuwabana kidogo. Pili, hilo ni swala gumu sana, tena kujadili kwa kusikia upande mmoja tu! Unahakika mkewe anahitaji mtoto pia? Tatu, mwenzio anapaswa kukuambia wazi nini maana ya mtoto. Ni yule wa damu yake tu ama yoyote watakae lea?