Msaada

Winton

Member
Joined
Oct 10, 2021
Posts
7
Reaction score
2
Mnaosimamishaga pisi njiani na kuomba namba na mkapewa nisaidieni mwenzenu. Nimezoea wa restaurant na bar ambao nawakutaga wamekaa hapo kidogo inakuwaga rahisi mno. Lakini hisi za barabarani eti ukute inatembea uombe namba inakuaga ngumu aisee.
 
Acha umalaya hao wa restaurant hawatoshi
 
Mnaosimamishaga pisi njiani na kuomba namba na mkapewa nisaidieni mwenzenu. Nimezoea wa restaurant na bar ambao nawakutaga wamekaa hapo kidogo inakuwaga rahisi mno. Lakini hisi za barabarani eti ukute inatembea uombe namba inakuaga ngumu aisee.
unapewa bonge la sonyoooo bata wewe
 
Buloo Weee kuwa na pesa tu tutakufuata sisi wenyewe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…