Msaada

Rajesi

Member
Joined
Apr 18, 2017
Posts
29
Reaction score
13
Wakuu kulingana na kichwa cha habari hapo juu nisaidieni kwa hili je inawezekana kwa mtu kusoma kuanzia certificate hadi degree ukiwa open university maana nataka nifanye hivyo nikasome law nikiwa open
 
Ikiwa una sifa za kujiunga na A'level kwa mujibu wa necta basi unaweza.

Ila kama una division 1 au 2 basi nakushauri ukasome cert of laws UDSM mwaka mmoja tu, na ukipata distinction unakuwa na sifa za kujiunga na bachelor of laws UDSM moja kwa moja.

Yaani from certificate to bachelor...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…