Msaada

Msaada

Mchepuko1

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2018
Posts
215
Reaction score
103
Nina simu aina ya tekno spark KA7,tatizo ni kuwa ukituma message inagoma kwenda na ninakifurushi cha mwezi kabisa na kuna mda unakubali ila inabagua laini.wakuu wenye uelewa anisaidie
 
Umejarbu kwenda kwa ur network provider..
Na wameshindwa kufanya settng manually
 
Mwanzo nilikuwa natuma vizuri tu ina mda sana kama miezi 5 but now inazingua
Nihivi angalia mtandao gan unaosumbua.nenda ofcn kwao wakafanye mannual settng na haitosumbua tatzo hapo ni netwrk provider..uctumie nguvu mkuu
 
Na ukipata pesa.nakushauri nunua smartphone
Nihivi angalia mtandao gan unaosumbua.nenda ofcn kwao wakafanye mannual settng na haitosumbua tatzo hapo ni netwrk provider..uctumie nguvu mkuu
 
Back
Top Bottom