Msaada

Msaada

cezarichwa

Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
29
Reaction score
2
jamani naombeni msada sehemu ya kusoma cd kwenye pc yangu imepotea ghafla tu ata kwenye driver nikiangalia haiko cjui nn tatizo ila mlango unafunguka na kufunga bila matatizo
 
Angalia vizuri utakuwa umeificha
Nenda pale zinaposoma angalia sehemu wameandika Devices and Removable divices bonyeza hapo mara 2 then lete mrejesho
 
jamani naombeni msada sehemu ya kusoma cd kwenye pc yangu imepotea ghafla tu ata kwenye driver nikiangalia haiko cjui nn tatizo ila mlango unafunguka na kufunga bila matatizo
Icheki kupitia device manager then fanya kama una update driver.

Hakikisha pc umekonect kwenye internet.
 
Back
Top Bottom