charlie anaely
Member
- Aug 25, 2013
- 26
- 3
Za jioni wadau
Naombeni msaada kidogo kwa wataalamu,simu ya tecno c8 haileti notifications kwa muda sahihi mpaka ufungue app husika ndo utapta notification mfano instagram,sms,whatsap,jfm na kadhalika
Bila kufungua app huwezi ona notification
Kwa wataalamu naombeni msaada wenu
Naombeni msaada kidogo kwa wataalamu,simu ya tecno c8 haileti notifications kwa muda sahihi mpaka ufungue app husika ndo utapta notification mfano instagram,sms,whatsap,jfm na kadhalika
Bila kufungua app huwezi ona notification
Kwa wataalamu naombeni msaada wenu