Njombe Vijijini
Member
- Jun 27, 2017
- 13
- 18
Habarini wakuu.. Kuna tablet ya samsung 4 imeanguka, sasa screen imepata crack ndogo tu ila tatizoo kubwa ni wino unaonekana umetanda juu ya baadhi ya sehemu kwenye screen..
Naombeni mnisaidie ushauri jinsi ya kutatua hili je kuna uwezekano wa wino kutolewa au ni lazima kioo kibadilishwe?
Naombeni mnisaidie ushauri jinsi ya kutatua hili je kuna uwezekano wa wino kutolewa au ni lazima kioo kibadilishwe?