Asante mkuu kwa mchango wako1. fungua ndani upime ohms ya spka ikisoma kuanzia 4,6,8>>>>, itakua nzima ila ikisoma 1 au 0 ujue imekufa
2. Angalia power suply kama umeme unafka vzr kila eneo.
3. Kama tweeta znpga vzuri? bas ndo inazingua angalia TRANSISTOR uzibadili
Mkuu kwaujumla yenyewe inaskika kwambalii sana mpaka uisikilizie ndo ungundue kuwa ina piga muziki1. fungua ndani upime ohms ya spka ikisoma kuanzia 4,6,8>>>>, itakua nzima ila ikisoma 1 au 0 ujue imekufa
2. Angalia power suply kama umeme unafka vzr kila eneo.
3. Kama tweeta znpga vzuri? bas ndo inazingua angalia TRANSISTOR uzibadili
Huwa naonaga Mara nyingi transistor za bas (ktk sabufa nyingi nilizoziona) zinakufa na kuacha twita zikiendelea kufanya kazi.1. fungua ndani upime ohms ya spka ikisoma kuanzia 4,6,8>>>>, itakua nzima ila ikisoma 1 au 0 ujue imekufa
2. Angalia power suply kama umeme unafka vzr kila eneo.
3. Kama tweeta znpga vzuri? bas ndo inazingua angalia TRANSISTOR uzibadili