Wakuu naomba mnisaidie kimawazo mwenzenu, je inawezekana kwa mwanaume kuoa mke anaemzidi umri maana kwa kawaida mwanaume ndiye anaetakiwa amzidi umri mwanamke!
Wakuu naomba mnisaidie kimawazo mwenzenu, je inawezekana kwa mwanaume kuoa mke anaemzidi umri maana kwa kawaida mwanaume ndiye anaetakiwa amzidi umri mwanamke!