Msaada wenu wakuu nashindwa kuingia watumishi portal

Dodoma moja

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
307
177
Naombeni msaada wenu wakuu, mimi ni mtumishi wa umma ambae nimejiunga na watumishi portal, mwanzo nilikuwa naingia vizuri tu na kuangalia taarifa zangu lakini kwa sasa inagoma naambiwa neno la siri au barua pepe nimekosea. Huwa nikiingia naanza kuingiza email yangu pale palipoandikwa barua pepe then kwenye neno la siri naingiza check number yangu lakini inanigomea. Naombeni kwa mnaojua mnisaidie nifanyaje ili niweze kuingia maana kuna taarifa muhimu nataka nizione. Asanteni
 
Naombeni msaada wenu wakuu, mimi ni mtumishi wa umma ambae nimejiunga na watumishi portal, mwanzo nilikuwa naingia vizuri tu na kuangalia taarifa zangu lakini kwa sasa inagoma naambiwa neno la siri au barua pepe nimekosea. Huwa nikiingia naanza kuingiza email yangu pale palipoandikwa barua pepe then kwenye neno la siri naingiza check number yangu lakini inanigomea. Naombeni kwa mnaojua mnisaidie nifanyaje ili niweze kuingia maana kuna taarifa muhimu nataka nizione. Asanteni
Pole, kama ulichek jan na feb, walibadiisha mfumo ambao unakutaka kubadili password.

Bonyeza link ya "umesahau neno la siri"? Watakutumia link kwenye email yako, ifungue huko huko, fanya password reset, kisha ingia upya
 
Mimi mwenyewe wananizingua wanasema wanatuma kwenye email nireset pass word lkn kimya
 
Pole, kama ulichek jan na feb, walibadiisha mfumo ambao unakutaka kubadili password.

Bonyeza link ya "umesahau neno la siri"? Watakutumia link kwenye email yako, ifungue huko huko, fanya password reset, kisha ingia upya
Asante mkuu ngoja nijaribu
 
Back
Top Bottom