Nina mwanangu kachaguliwa sec.ya Lwangwa pcm baada ya mahangaiko nimefanikiwa kujuwa shule ipo rungwe mbeya ni km kadhaa ktoka mj wa tukuyu ila hawa ndiyo wanaenda kuanza yaani shule ilikuwa na o-lev pekee mwaka huu ndiyo wanaenda kufungua kimsing kijana alikuwa na uwezo wa wastan kwani alkuwa na div.1 P17 Sasa bac kwa uzoefu wenu wana jf shule inayoanza inaweza kumpeleka kijana mbele au ndy bac kapoteza malengo yake ? nifanyeje kumsaidia? nasubili michango yenu. Nawasilisha