Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,236
- 4,779
Hi
Bado haita saidia kitu mkuu situmii iPhones mmUza simu
Kupata degree ambayo ntaitumiaNdoto na malengo yako ni zipi kupitia elimu ya chuo?
Sitegemei ajira wala kuja kuajiriwa ila bado naona umuhimu wa elimu itakayo nisaidia kutimiza ndoto yangu ya kuingia katika uzalishaji wa bidhaa fulani I mean kumiliki company au kiwanda pili ku save boom kwa njia moja wapo ya harakt za kufanikisha hiloNdoto na malengo yako ni zipi kupitia elimu ya chuo?
Kupata degree ambayo ntaitumia
Sitegemei ajira wala kuja kuajiriwa ila bado naona umuhimu wa elimu itakayo nisaidia kutimiza ndoto yangu ya kuingia katika uzalishaji wa bidhaa fulani I mean kumiliki company au kiwanda pili ku save boom kwa njia moja wapo ya harakt za kufanikisha hilo

Fine but nnamkakati binafsi how ntasave icho kidogo japo is not always easy najuaKusave boom!
Utoto raha wallahi, boom ambalo ni laki mbili kwa mwezi utawezaje kusave.!
Nikwambie tu, hao wanachuo wenzako kila siku wanashindia mihogo na RB hapo cafeteria... na bado siku wakimaliza chuo lazima waombe nauli au wauze simu/laptops.
Ila ukiwa hujaanza kulipata, ni bonge la hela na mipango kama yote.
Vaa kiatu cha mhusika,tusiwe wepesi wa kutoa majibu mepesi kwenye hoja ngumu,mwenzio naomba msaada wa kimawazo ili aweze kutatua changamoto zake.Uza simu
Tukikuambia watawala wa Mkwawa watajuwa na watakunyima kila kitu. Ni bora tu uende kuwapigia magoti na kulamba miguu yaoMimi ni kijana ninaye tegemea kujiunga na chuo cha Mkwawa University na nimepewa boom asilimia zero yaani pesa ya kujikimu tu na maisha ni magumu sana kwangu na sina msaada wowote hivyo nikataka nitumie hilo hilo boom kujisomesha lakini nilipo kwama ni hapa kuwa nilazima nilipe nusu ya ada laki tano na michango laki mbili jumla laki saba 700,000 ndipo nisajiriwe. Na nikisajriwa ndio taweza kupata boom na mimi sina ktu zaidi ya laki moja niliopata
Swali langu je nitumie trick gani hapa ili niweze kupata boom ili nitumie kulipa ada maana nona kabisa kabisa ndoto na malengo yangu zikifeli natanguliza shukurani nahitaji msaada hapa bado niko tutani WAKUU.
Ukiniambia nn mkuu semaTukikuambia watawala wa Mkwawa watajuwa na watakunyima kila kitu. Ni bora tu uende kuwapigia magoti na kulamba miguu yao