Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,815
- 33,486
Si uchangie utarudishiwaPesa tena jamani
Haya msaaada huku unahitajika haraka
[emoji23]Pesa tena jamani
Haya msaaada huku unahitajika haraka
Takukuru watakukamata hiyo ya kukabdhi kadi kwa Mkopeshaji hairusiwi!!Kama dhamana ni mshahara huwezi kosa mtu huko uliko, kabidhi kadi ya benki na mkopo utaoewa.
Kuna member humu natamani nimtag akusaidie, sema atajua tu mie ndo nimekulengesha kwake.Habari zenu ndugu wana Jf,
Ndugu zangu nimepata na matatizo ambayo yanahitaji kuyatatua kwa uharaka,ninahitaji Mkopo wa Milioni 1.
Mkopo nitarejesha ndani ya miezi 2 kwa awamu 2,nitafurahi kama nitapata kwa riba ya 10%-15% kwa mwezi. Dhamana niliyonayo ni mshahara wangu wa kila mwezi.
Takukuru wanakamata wale ambao pesa zao zina ushirirkina, yaani hata uchakarike kwa sarakasi gani deni hulipi na riba inazidi kubwa. Kama habari ya juzi ya yule mstaafu, alikopa 10M jamaa wakachukua 25M.Takukuru watakukamata hiyo ya kukabdhi kadi kwa Mkopeshaji hairusiwi!!
Hata mia mbovu sina 😂Si uchangie utarudishiwa
Wacha maneno yako wewe..Hata mia mbovu sina [emoji23]
Mama Samia anayajua haya lakiniHabari zenu ndugu wana Jf,
Ndugu zangu nimepata na matatizo ambayo yanahitaji kuyatatua kwa uharaka,ninahitaji Mkopo wa Milioni 1.
Mkopo nitarejesha ndani ya miezi 2 kwa awamu 2,nitafurahi kama nitapata kwa riba ya 10%-15% kwa mwezi. Dhamana niliyonayo ni mshahara wangu wa kila mwezi.