Msaada wenu kuhusu mda wa kusoma chuo au advance

Msaada wenu kuhusu mda wa kusoma chuo au advance

rajesh

Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
17
Reaction score
1
Je ni sawa mtu anaesoma chuo kuingia degree kuanza degree sambamba na yule aliepitia advance na diploma n miaka 3 na advance 2.
Je wataanza chuo pamoja.
 
Wa advance lazma amzdi diploma mwaka mmoja yaan ad akiwa second year diploma ndo kwanza first ila kwenye suala la kumaliza chuo inategemea na kozi au chuo husika mfano Dit cozi kwa aliyetokea diploma ni miaka mitatu tu ila wa advance yy ni minne so mtamaliza pamoja hyo ni kwa sayansi tens baadhi ya vyuo .
 
Back
Top Bottom